Prof Kabudi: Kati ya pesa na heshima ya nchi yetu, tutasimamia heshima. Tuko tayari kuwasikiliza na kujadiliana kwa heshima

Sawa sawa tunategemea Magufuli kurudisha hiyo Euro mil 27 ili kulinda heshima na utu wetu.
 
Anzeni na za covid 19 mrudishe! Si kubwabwaja na mkwanja mmefuja.
 
Unataka niwaze kama unavyowaza wewe au?

Watu mmekosa uzalendo mmekuwa wazandiki.
Kuwa mzalendo ni kutetea serikali hata kama inatoa haja kubwa Kariakoo!!!!?
Bado nina mpango wa kufanya utafiti juu ya ubongo wa wana CCM,kunani!!
 
Fantastic Prof. Together we will survive
 
Kabudi anavyotumbua mimacho kutetea upumbavu hadi anatia huruma maskini
 
Mzee mimi nadhani serikali haina haja yakutoa mipasho yote hii. Kikubwa hizo bilioni 75 za msaada zirudishwe tuepukane na kelele za mabeberu.

Sidhani kama kuna haja yakuendeleza majibizano.

Serikali inafanya kazi yake sawasawa
Nyie waambie hao mabwana waache chokochoko na kuisemea Tanzania mambo ya uongo. Wakiendelea kuongea uongo watajibiwa tuu hamna namna

Na muwaambie hakuna kitakachorudi, waligeuza waafrika wajinga sasa ujinga imeisha.... kwanza wana madeni makubwa sana juu ya mali zetu walizokwapua na wanazoendelea kukwapua, uhai wa watu wetu waliowauwa, mateso na utu wetu

 
Utu?!

Kutesa, Kuteka, Kubambikia kesi, kupora wapinzani ushindi wao, hayo hayahusishi utu?

Au huyo Prof. hajui maana ya utu.

Anyway bado hajajibu swali, Euro 27m iko wapi?
Mpinzani gani alishinda akaporwa ushindi? Mtaje.
 
kuwa na njaa haimaanishi ujirahisishe,utapandwa kisa njaa.
Wabeba vyuma na wenye pesa ndio wanaongozwa kupandwa. Kwa nini utumie nguvu nyingi kutuaminisha uko sawa. Elton John ana njaa?
 
Prof sio wa kumuamini
Yaani nilishangaa sana kuteuluwa ubunge na hatimaye uwaziri.
Kiboko yake ni marehemu Prof. D . Mwaga, Askofu Mstaafu Dr. G. Mpango, Dr. M. Akili na Dr. G. M. Mhogolo.
Aibu yake anaijua pale Dodoma - Area D.
 
Sawa sawa tunategemea Magufuli kurudisha hiyo Euro mil 27 ili kulinda heshima na utu wetu.

Hakirudi kitu sababu bado tunawadai.

compensation from Germany for colonial era atrocities​

By Deji Badmus
February 10, 2017

https://www.facebook.com/sharer.php...ion-from-germany-for-colonial-era-atrocities/
https://twitter.com/intent/tweet?te...-for-colonial-era-atrocities/&via=CGTN+Africa
https://plus.google.com/share?url=h...ion-from-germany-for-colonial-era-atrocities/
https://pinterest.com/pin/create/bu...tion+from+Germany+for+colonial+era+atrocities

Tanzania will seek compensation for tens of thousands of people who were allegedly starved, tortured and killed by German soldiers as they sought to put down rebellious tribes in the colonial era.
German forces are accused of crimes including starvation following the famous Maji Maji tribal revolt between 1905 and 1907.
Germany was Tanzania’s colonial master from the late 1880s to 1919.
In an interview with DW, Hussein Mwinyi, the Minister of Defense and National Service of Tanzania, said that the government is prepared to ask the German government to compensate those who were affected by the Maji Maji war.
Mwinyi said the Tanzanian government will follow in the example of other African states that have sought compensation from their colonial masters, including Kenya and Namibia.
The minister also said the compensation, if received, would be directed to the families of those who lost their lives during the German colonial era and the surviving victims of the atrocities.



 
Yaani nilishangaa sana kuteuluwa ubunge na hatimaye uwaziri.
Kiboko yake ni marehemu Prof. D . Mwaga, Askofu Mstaafu Dr. G. Mpango, Dr. M. Akili na Dr. G. M. Mhogolo.
Aibu yake anaijua pale Dodoma - Area D.
Prof. D. Mwaga ilikuaje ? Mwl wangu huyu
 
Wabeba vyuma na wenye pesa ndio wanaongozwa kupandwa. Kwa nini utumie nguvu nyingi kutuaminisha uko sawa. Elton John ana njaa?

hakuna nguvu yoyote,na hakuna ushahidi kwamba wanyanyua vyuma wanaongoza kwa kupandwa.

kila mtu ana shida usikariri umasikini pekee.
 
Kwa nini tulichukua hela zao..?....Kuwa mkali haisaidii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…