Prof Kabudi: Kati ya pesa na heshima ya nchi yetu, tutasimamia heshima. Tuko tayari kuwasikiliza na kujadiliana kwa heshima

Prof Kabudi: Kati ya pesa na heshima ya nchi yetu, tutasimamia heshima. Tuko tayari kuwasikiliza na kujadiliana kwa heshima

Hoja hapa wazungu wanachotaka kujua pesa imetumikaje lakini inashangaza mtu mzima tena msomi anavyowajibu wahisani wetu
 
Naunga mkono profesa.

Bora umewambia ukweli hao MABEBERU
 
Ivi kwnn unashadadia pesa usizojijua zilipatikanaje kwa hao Wazungu?
Ivi unajua zilikuwa na mlengo gani kwa nchi maskini?
Alafu sie hatukuwaomba hizo pesa na walizitoa wakijua kabisa sisi corona haipo na kipindi wanazitoa tulikuwa tayari tusharudi kwenye maisha yetu ya kawaida,

Naona CHADEMA mnashikilia kinoma ili shoga yenu aweze kusamehewa na Mabeberu kwa ahadi feki alizowahakikishia hao waliomtuma kuja kugombea kuwa baada ya kupata dola atawapa MADINI yetu 😂😂, ila bahati mbaya watanzania walimstukia 😂😂, kajaribu kuitisha MAANDAMANO nayo yamefeli😂😂, sasa karudi kuwapanga mabwana zake 😂😂,

Endeleeeni kushangiliaa UFIPA na mtaaibika kawa kawaida yenu maana aibu ni kwenu kila mara

Refer kwa babu wa ndege napo mlishangilia weee, lkn mwishowe mlipata aibu kama zotee😂😂,

CHADEMA ni loser kweli kweli,
Jifunzeni kuwa Wazalendo wa nchi yenu labda ndipo mnaweza kuhurumiwa na CCM ikawakabidhi nchi ijapo sidhani mtaongoza ata kwa miaka 10 ivi.
Nyambafu sana nyie UFIPA🤔
Inaonekana unateseka sana,na bado!Tutaendeleza dozi bila kikomo mpaka mtapike nyongo kabisa,shwain😁😁!
Hizo propaganda mfu nawaachia wenyewe maana mimi mtu timamu siwezi kujadili upuuzi na uzandiki!
 
Ni kweli mzee Kabudi kajibu kiwango cha chini kuhusu hoja za wapi zimetumika pesa za msaada wa kupambana na corona ,amejibu kisera za mambo ya nje badara ya matumizi yenyewe kama swali lilivyotaka, ingawa EU wahaja tuuliza sisi tumetumiaje bado wako na maafsa wao wakiwahoji kwa nini tulitupa pesa ilhali tunasema hakuna corona kuwa vigezo gani vilitumika sisi tupewe;

1. Kila nchi haikuwa na pesa za kupambana na corona awali hivyo ilihitaji pesa ya dharura tu ambayo haikuwa imepitishwa kwenye bajeti ya nchi husika inawekana pesa yao ilikuja kurudishia matumizi ya awali ambayo nchi yetu ilikuwa tayari imeshatumia kwenye

a) Kununua vifaa viba kwa ajiri ya matibabu ya awali ya corona hasa kutibu dalili (kumbuka corona haikuwa na dawa wala chanjo)

b) Kuanzisha vituo vya kuwatunzia wagonjwa wa corona maeneo yaliyokuwa yametengwa

c) Kuwa ajiri vijana wa kufanya kazi kwa muda kutoka maeneo mbalimbali nchini hawa walikwenda sambamba na walijitea kupiga dawa mitaani na sehemu mbalimbali zenye mikutaniko ya watu.

d) Kununua dawa za kupulizia maeneo yenye mikutaniko ya watu.

e) Kusafirisha wagonjwa wa corona kutoka maeneo mbalimbali na kuwaweka kwenye maeneo tengefu kwa kutumia magari ,posho za madereva na watumishi ikiwa ni pamoja na mafuta (kumbuka nchi hii ni kubwa )

f) Utoaji wa elimu kwa jamii hasa media zote ilihitajika pesa ya kutosha kufanya jambo hili.

2. Pesa ya watanzania ilitumika kufuata dawa Madagascar kwa ndege maalumu nigharama kubwa sana

3. Kutoa pesa za tafiti mbalimbali kule NIMRI na Muimbili ilihitaji pesa za kutosha

KWA KUWA PESA ZILIZOTUMIKA NI PESA AMBAZO ZAZIKUWA KWENYE BAJETI PESA WALIZOTUPA KAMA MSAADA ZILITUMIKA KUFIDIA HAYA

USSR
 
Hata Zimbabwe walisema hivyo hivyo😊
Cha ajabu halafu Tanzania ndio juzi juzi hapa ilikuwa inashauri tunao waita mabeberu wawaondelee vikwazo vya kiuchumi Zimbabwe!!

Sasa kama tunaona kuwekewa vikwazo vya kiuchumi si lolote si chochote ya nini kuitetea Zimbabwe?

Tuwe wakweli tujisahihishe - binafsi napendekeza kwamba sisi kama Taifa ni bora ku-address tatizo linalo chochea international community agencies kupendekeza tuwekewe punitive sanctions, kuna tatizo si bure - calling western Nations names won't save our skin.
 
Back
Top Bottom