Prof. Kabudi kumrithi Magufuli 2025?

Kwani Kabudi mwenyewe anasemaje?
 
Magufuli kafa
 
Ulikua inevitably bangi ya wapi
 
Yaani Rais Mwinyi alikuwepo na ndo alitakiwa achukue Jiwe angekuwa hai Kabudi is a shame
 
Aliyeleta hii mada afadhali uifute tu maanake haina maana tena, huyo Kabudi wako ni "Spent Force" sidhani kama hata kule jalalani anaweza kurudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…