mambo hayo yeye amejitoa muhanga kwa ajili ya raisi na raia wote. hahahahha
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23]🤣 🤣 🤣 mwanzo mzuri wa kufanyaje??
Hatugombanii ujinga.Kaeni nao wote!
Wa kupkota makopo labda[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] mwanzo mzuri wa kufanyaje??
Sasa mbona yeye ameonekana akinywa hiyo dawa?Prof Kabudi: Sijafuata ‘kikombe cha babu’ Madagascar, dawa ya corona kuchunguzwa kwanza
Professor kabudi kasema dawa ya Madagascar kuchunguzwa kwanza kabla ya kuwapa wagonjwa. Soma habari zaidi kwenye link juu.
Ndiyo alikuwa anafanya uchunguzi pale. Au hujui kama yeye ni Profesa??Sasa mbona yeye ameonekana akinywa hiyo dawa?
Naomba video au picha akiwa anakunywa.Nilisema mimi, amekunywa dawa za mwenye dawa zake akidhani ni Vimto. Ila sasa kama zililetwa kwa ajili ya utafiti ilikuwaje yeye akafungua chupa na kuanza kuinywa hadharani?
Hivi hawa majamaa yameshawaoneni kwamba watanzania ni maamuma sana au?
Kauli na matendo yake vinapingana. Inawezekana ililetwa kwa ajili ya mtu mmoja sasa ikabidi ioneshwe kwamba imeletwa kwa ajili ya watu wengi. Yaani yeye anakunywa ila watanzania wenzake ndio wasubiri uchunguzi!!??Wewe Kabudi mbona umekunywa alafu wagonjwa ndio hadi wasubiri utafiti
Kama maprofesa ni immortal hapo sawa.Ndiyo alikuwa anafanya uchunguzi pale. Au hujui kama yeye ni Profesa??
Alijitolea kufanyiwa uchunguzi, hakuwa anakunywa kwa uponyaji bali kimaabara tu.
Naona Allen katania tu.
Duuh!Alijitolea kufanyiwa uchunguzi, hakuwa anakunywa kwa uponyaji bali kimaabara tu.
Hi nchi ina vituko sana utafiti gani unataka ufanye katika hiyo dawa? utafiti nzuri ni kuwapelekea wagonjwa waliopo Amana, Mwananyamala na Mloganzila
Wewe Kabudi mbona umekunywa alafu wagonjwa ndio hadi wasubiri utafiti
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau majibu ya wasomi wawili wa CCM mmoja aliyetaka kutoa hadharani elimu ya Ole Sendeka na kusema hawezi kujibishana na wasiosoma na yule mwingine aliyemwita mwenzake Tumbili??