Prof. Kabudi: Kwa sasa Wananchi hawatapewa dawa za kukabiliana na Corona kutoka Madagascar, inafanyiwa utafiti kwanza

Prof. Kabudi: Kwa sasa Wananchi hawatapewa dawa za kukabiliana na Corona kutoka Madagascar, inafanyiwa utafiti kwanza

Wamepigwa bit wasitangaze kama dawa!!..
WHO na CDC si vitu vya kuchezachezea utake usitake.....

Hawa ndiyo wenye dhamana ya afya ya Dunia mzima.
 
Yaani Kweli sasa mmechanganyikiwa, Kabudi kunywa iyo dawa mnakasirika !! Yaani mmefungua mbaka mjadala !! Kwa kweli chuki ni kitu kibaya sana inamfanya mtu akose amani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais alisema atatuma ndege kufuata dawa Madagascar.

Ndege ikaenda Madagascar.

Akaonekana mmoja anakunywa hiyo dawa.

Kisha akasema Madagascar hakufuata dawa.

Hakuna wa kumuuliza alifuata nini?
 
Maajabu yetu kama nchi
IMG-20200509-WA0033.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka Jpm alisema anatuma ndege Madascar kufuata dawa ya Corona,Sasa msikie huyu
IMG_20200509_155752.jpg
IMG_20200509_155733.jpg
 
Yaani Kweli sasa mmechanganyikiwa, Kabudi kunywa iyo dawa mnakasirika !! Yaani mmefungua mbaka mjadala !! Kwa kweli chuki ni kitu kibaya sana inamfanya mtu akose amani.

Sent using Jamii Forums mobile app
We ni mjinga, hushtuki Waziri kunywa sample ya dawa anayosema haija dhibitishwa kuwa inamadhara gani kwa binadamu?
Ujinga unafanya usione mantiki ya hoja hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa kwetu ndio kuna mambo ya ajabu huwezi kuyaona katika ulimwengu wote labda ulimwengu wa Roho.

Dawa anayotuambia kuwa imeletwa karibu tani nzima kama SAMPLE ili ipelekwe maabara kwa uchunguzi ameamua kwa hiari yake bila kulazimishwa na mtu kuinywa chupa nzima.
Huyu sio mwingine bali ni Waziri wa mambo ya Nje, Msomi wa kiwango cha Profesa wa sheria na mshauri wa karibu wa Rais.

Jee hii sio hatari kwa dawa ambayo bado ni sample kuinywa? Na kama kainywa Waziri nini kitazuia wengine kuidokoa kunywa hapo NIMRI ikiwa inasubiri kufanyiwa kazi?
Iwapo itakuwa haifai na inahatarisha Afya lawama tumlaumu nani? Aliyemtuma kwenda Madagascar au yeye mwenyewe kwa kuonja chupa nzima bila ruhusa ya aliyemtuma?View attachment 1444734

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kawaida lawama zote kwa Jonijo.
 
Data hizi ni walizotangaza wao wenyewe?

Kama ni hivyo sisi ndiyo wenye dawa. Waje wao kuchukua dawa kwetu kwa maana sisi tuko vizuri kuliko wao, kwa maana tangia Apr 29 hadi leo hapa kwetu:

1. Maambukizi mapya hamna
2. Vifo hamna...
Wao hakuna aliyekufa utasemaje tuko vizuri wakati sisi mpaka sasa vifo ni 21
 
Back
Top Bottom