Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 3,384
- 4,428
RAshidi alikuwa nguzo kubwa ya Mwalimu hangeweza kumshika. Hata Mwingira alipewa kazi nyingine. Ukweli ni kuwa likuwa uikiukwaji wa sera. Nyerere alipendelea ujamaa na Rajpar alitoa rushwa kununua meli siyo ni kweli iliuzwa na pesa yote kuibiwa. Ukiukwaji wa sera.Waliposhikwa nini kilitokea eventually?.
Kama Mwalimu alikuwa mpinga ufisadi wa kwelikweli kwa nini alimuachia Kawawa?
Isije ikawa kukamatwa kwa Rajpar na Mwingira ni bangusilo tu
..hata Sokoine alianza kukoromewa na wahafidhina ktk Ccm kwamba ana vimelea vya ubepari.
..ndani ya Ccm kulikuwa na makada wanaoamini ktk ujamaa mkali kuliko Mwalimu Nyerere.
Halafu alipojiuzulu tu wakaanza kuvaa suti pande sita wakati enzi za mwalimu walikuwa wanajifanya kuvaa suti ya Mao
Na amewahi kuumizwa mguu akaenda kutibiwa Cuba. Akaponea Denmark. Wewe fikiria TISS ya Nyerere ilivyokuwa na siri. Waziri mkuu hayupo ofisini miezi lakini wananchi wako vizuri tu hawahoji..hata Sokoine alianza kukoromewa na wahafidhina ktk Ccm kwamba ana vimelea vya ubepari.
..ndani ya Ccm kulikuwa na makada wanaoamini ktk ujamaa mkali kuliko Mwalimu Nyerere.
Utapeli wake nini hapo.Kwani Sokoine hakufa,na kwani Nyerere hakusema anasikitishwa na kifo cha Sokoine?Kabudi ni tapeli wala hatuwezi kumsikiliza
Na amewahi kuumizwa mguu akaenda kutibiwa Cuba. Akaponea Denmark. Wewe fikiria TISS ya Nyerere ilivyokuwa na siri. Waziri mkuu hayupo ofisini miezi lakini wananchi wako vizuri tu hawahoji
Mkuu, Mr. Kabudi ametokelezea kwenye Baraza la Mawaziri la Mh. JPM, kwa Ubunge wa kuteuliwa.Huyu mhe. kabudi nae alikuwepo na nyerere kipindi hiko au ndio uchawa kama uchawa..
dawa coronaKabudi ni tapeli wala hatuwezi kumsikiliza
Utapeli wake nini upo hapo.Kwani Sokoine hakufa,na kwani Nyerere hakusema anasikitishwa na kifo cha Sokoine?
Wangehoji vipi wakati redio na magazeti ni ya chama na serikali!?..kwanza wananchi hawakua na time na siasa plus hapakua na mawasiliano ya mara kwa mara Kati ya viongozi na raiaNa amewahi kuumizwa mguu akaenda kutibiwa Cuba. Akaponea Denmark. Wewe fikiria TISS ya Nyerere ilivyokuwa na siri. Waziri mkuu hayupo ofisini miezi lakini wananchi wako vizuri tu hawahoji
Aiseee,wewe Ni kiboko,darasa la pili umeshakuwa na uwezo wa kuhoji,big up bossAlafu unajua mimi huwa najiuliza nikiwa tu darasa la pili nilianza kukataa kuimbishwa zidumu FIKIRA za mwenyekiti wa CCM, nikamwuliza mwalimu wangu kwa nini tunaambiwa zidumu fikira za mwenyekiti wa CCM ili hali hatujui anafikiria nini? Ajabu nilishia kulambwa bakora za kutosha na kutumwa nikaite mzazi eti nina tabia mbaya. Mzazi naye bila kunisikiliza akaungana na mwalimu na kunitandika bakora za kutosha kwa hoja dhaifu sana kwamba nina akili darasani lakini ninataka kuanza kuwa na tabia.
Nikiwa darasa la sita nako nikakumbana na kadhia ya kufukuzwa shule kwa sababu nilikataa kujiandikisha kupiga kura, sababu ya kukataa ilikuwa ni dhahiri kwa kipindi hicho sikuwa nimetiza miaka 18, japo uchaguzi wenyewe ulikuwa ni wachama kimoja lakini wabunge walikuwa wanagombea wawili isipokuwa Rais ndo alikuwa anasimama na kivuli.
Nakumbuka mwalimu wangu mkuu alikuwa swaiba sana wa mgombea mmoja wapo aliyekuwa akifahamika kwa jina la Charles Magoti, hivo ili kumwongezea kura alichukuwa vijana wote ambao walionekana warefu na wenye uwezo wa kutambua na kufuata maelekezo wajiandikishe kupiga kura.
Mimi nilihoji tu kama katiba ya CCM inatakamka kwamba mtu ambaye anaruhusiwa kupiga kura ni yule tu aliyetimiza umri wa miaka 18 iweje sisi tulazimishwe kupiga kura? Nikafukuzwa shule kwa muda wa miezi 3. Hizi figusu zilianza miaka mingi sana.
Hoja yangu ni nini? Hoja yangu ni kwamba kitabu cha SOKOINE kilipaswa kuandikwa na watu wasiofungana na upande wowote na si akina KADARI SINGO ( PE)
Huu ni uzushi. Sokoine angeuawa basi Nyerere asingecha mambo yaishie juu juu. Ile ilikuwa ni ajali tu ila watu siku zote huependa kuamini uvumi kuliko ukweli.100% CCM walimuua Sokoine.
Dumisani Dube alikuwa anaenda wapi na yeye alikuwa anaisha Dar kama mkimbizi?
Tangu lini Waziri Mkuu agongwe na Gari na body guards na ulinzi ulivyo?
Kawawa kwa nini aliiwahi ndege ya Sokoine akaenda nayo Liwale? Nia yake ilikuwa akamilishe njama zake yeye na Mβya.
Kesi ilipoanza:
Siku ya kwanza Dumisani Dube alikataa kuwa yeye hakumuua yaani not guilty
Kesi ikaailishwa
Baada ya Kesi kuanza mara ya pili Dumisani Dube alikubali makosa yote na kuhukumiwa jela miaka mitano.
Badala ya kutumikia kifungo unamwona London anaishi maisha mazuri!!!!!
Jifikirishe, hiyo ndiyo CCM.
Muulizeni Cleopa Msuya kabla ya ..,fa, huyu ndiyo kabakia katika master planners
Wakati ule mambo yalikuwa tofauti. Binadamu husahau mapema (hasa mtanzania) lakini kipindi cha Nyerere hakukuwa na platform ya kujua kinachoendelea na hata kutoa siri.Na amewahi kuumizwa mguu akaenda kutibiwa Cuba. Akaponea Denmark. Wewe fikiria TISS ya Nyerere ilivyokuwa na siri. Waziri mkuu hayupo ofisini miezi lakini wananchi wako vizuri tu hawahoji
dawa ya covid 19?Utapeli wake nini hapo.Kwani Sokoine hakufa,na kwani Nyerere hakusema anasikitishwa na kifo cha Sokoine?
π€―Nikiwa darasa la sita nako nikakumbana na kadhia ya kufukuzwa shule kwa sababu nilikataa kujiandikisha kupiga kura
Huu ni uzushi. Sokoine angeuawa basi Nyerere asingecha mambo yaishie juu juu. Ile ilikuwa ni ajali tu ila watu siku zote huependa kuamini uvumi kuliko ukweli.
Usijitoe,tulia ujifunzeDuh kumbe Jf tupo na wazee. Mi kuzaliwa mwaka 85 ila humu kumbe kuna watu mwaka 84 walikuwa wanafuatilia hadi mambo ya Sokoine. Mi najitoa jf jamani
JamiiCheck hebu angalieni hili.Alafu unajua mimi huwa najiuliza nikiwa tu darasa la pili nilianza kukataa kuimbishwa zidumu FIKIRA za mwenyekiti wa CCM, nikamwuliza mwalimu wangu kwa nini tunaambiwa zidumu fikira za mwenyekiti wa CCM ili hali hatujui anafikiria nini? Ajabu nilishia kulambwa bakora za kutosha na kutumwa nikaite mzazi eti nina tabia mbaya. Mzazi naye bila kunisikiliza akaungana na mwalimu na kunitandika bakora za kutosha kwa hoja dhaifu sana kwamba nina akili darasani lakini ninataka kuanza kuwa na tabia.
Nikiwa darasa la sita nako nikakumbana na kadhia ya kufukuzwa shule kwa sababu nilikataa kujiandikisha kupiga kura, sababu ya kukataa ilikuwa ni dhahiri kwa kipindi hicho sikuwa nimetiza miaka 18, japo uchaguzi wenyewe ulikuwa ni wachama kimoja lakini wabunge walikuwa wanagombea wawili isipokuwa Rais ndo alikuwa anasimama na kivuli.
Nakumbuka mwalimu wangu mkuu alikuwa swaiba sana wa mgombea mmoja wapo aliyekuwa akifahamika kwa jina la Charles Magoti, hivo ili kumwongezea kura alichukuwa vijana wote ambao walionekana warefu na wenye uwezo wa kutambua na kufuata maelekezo wajiandikishe kupiga kura.
Mimi nilihoji tu kama katiba ya CCM inatakamka kwamba mtu ambaye anaruhusiwa kupiga kura ni yule tu aliyetimiza umri wa miaka 18 iweje sisi tulazimishwe kupiga kura? Nikafukuzwa shule kwa muda wa miezi 3. Hizi figusu zilianza miaka mingi sana.
Hoja yangu ni nini? Hoja yangu ni kwamba kitabu cha SOKOINE kilipaswa kuandikwa na watu wasiofungana na upande wowote na si akina KADARI SINGO ( PE)
Mkuu, ni kweli pamoja na TISS ya Mwalimu kuwa bora katika utendaji wake, lakini uwepo wa Serikali mbili za kiutawala, kwa maana ya Serikali Kuu na Serikali za Tawala za Mitaa, zilikuwa zinafanya kazi zake kwa kufuata Kanuni, Sheria na Taratibu za Kiutawala kwa mujibu ya Katiba; bila kuingilina; hivyo Wananchi kwa asilimia kubwa huduma zao zilikuwa chini ya Serikali ya Mitaa (Local Government) hivyo ilikuwa vigumu kwao kujua mienendo ya Waziri Mkuu na hasa ukizingatia hapakuwa na vyombo vingi vya mawasiliano na hasa vya teknolojia ya kisasa kama leo.Na amewahi kuumizwa mguu akaenda kutibiwa Cuba. Akaponea Denmark. Wewe fikiria TISS ya Nyerere ilivyokuwa na siri. Waziri mkuu hayupo ofisini miezi lakini wananchi wako vizuri tu hawahoji
Uchawa tu πHuyu mhe. kabudi nae alikuwepo na nyerere kipindi hiko au ndio uchawa kama uchawa..