Prof Kabudi: Mwandishi mmoja wa kigeni aliandika kuhusu kifo cha Sokoine kwamba Nyerere alihusika au alifaidika na kifo hicho

Prof Kabudi: Mwandishi mmoja wa kigeni aliandika kuhusu kifo cha Sokoine kwamba Nyerere alihusika au alifaidika na kifo hicho

Siku hiyo nilikuwa natafuna hamburger tukiwa na Mkenya mmoja pale Metropole,Arusha akasisitiza bila ushahidi kuwa haya ni mauji kama ya Tom Mboya huko kwao.
Juhudi zangu zote za kukanusha zilishia kwenye masikio ya Chura Kiziwi.
Mkuu umekula chumvi 84 unatafuna hamburger 🍔 metropole Arusha, Shikamoo😄
 
Waziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi amesema baada ya Kifo Cha Sokoine Maneno mengi yalisemwa ikiwemo " aliuawa kwa njama"

Mwandishi mmoja wa kigeni aliandika Kifo Cha Sokoine Mwalimu Nyerere Alihusika au Alifaidika na Kifo hicho

Mwandishi huyo alisema Nyerere alihofia Sokoine akiwa Rais atapendelea mfumo wa Sekta Binafsi

Prof Kabudi anasema Mwalimu Nyerere alisikitika sana baada ya kusoma Makala hayo na kumwomba Mungu wa Mbinguni amsamehe Mwandishi yule

Source: Mwanahalisi Digital
Ni kama kule msumbiji baada ya uhuru mwandishi moja wa kizungu aliandika Samora Machel ndiye alimuua Eduardo Mondlane eti ili yeye aongoze Frelimo kimapinduzi. Yaani mabeberu wana hila za kila namna kujaribu kuchonganisha..
 
100% CCM walimuua Sokoine.
Dumisani Dube alikuwa anaenda wapi na yeye alikuwa anaisha Dar kama mkimbizi?

Tangu lini Waziri Mkuu agongwe na Gari na body guards na ulinzi ulivyo?

Kawawa kwa nini aliiwahi ndege ya Sokoine akaenda nayo Liwale? Nia yake ilikuwa akamilishe njama zake yeye na M—ya.

Kesi ilipoanza:
Siku ya kwanza Dumisani Dube alikataa kuwa yeye hakumuua yaani not guilty
Kesi ikaailishwa

Baada ya Kesi kuanza mara ya pili Dumisani Dube alikubali makosa yote na kuhukumiwa jela miaka mitano.

Badala ya kutumikia kifungo unamwona London anaishi maisha mazuri!!!!!

Jifikirishe, hiyo ndiyo CCM.

Muulizeni Cleopa Msuya kabla ya ..,fa, huyu ndiyo kabakia katika master planners
Alikuwa ni Mwandishi wa Gazeti la " AFRICA NOW" (la Afrika ya Kusini) lililokuwa likitoka mara moja kwa wiki. Nakumbuka ilikuwa ni siku ya J3 tar sikumbuki Makachero waliyanunua magazeti yote yaliyokuwa kwenye vibanda vya magazeti. Na amri ilitolewa kwamba ni marufuku mtu yeyote kuwa na Nakala ya toleo lile la gazeti. Mwisho yakapigwa ban kuingia Tz toka kipindi hicho hadi leo.
 
Waziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi amesema baada ya Kifo Cha Sokoine Maneno mengi yalisemwa ikiwemo " aliuawa kwa njama"

Mwandishi mmoja wa kigeni aliandika Kifo Cha Sokoine Mwalimu Nyerere Alihusika au Alifaidika na Kifo hicho

Mwandishi huyo alisema Nyerere alihofia Sokoine akiwa Rais atapendelea mfumo wa Sekta Binafsi

Prof Kabudi anasema Mwalimu Nyerere alisikitika sana baada ya kusoma Makala hayo na kumwomba Mungu wa Mbinguni amsamehe Mwandishi yule

Source: Mwanahalisi Digital
Kwa Nyerere kwamba alihusika na kifo cha Sokoine, ni uongo tena uongo hasa. Nyerere alimpenda saba Edward, hata wakati wa uchahuzi wa 1995 yaani miaka 11 toka afe, Nyerere alionesha bado kumlilia Sokoine. Ni wapuuzi na wasio fikiria vizuri ndio wanaweza kumfikiria Nyerere with the scandal
 
Waziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi amesema baada ya Kifo Cha Sokoine Maneno mengi yalisemwa ikiwemo " aliuawa kwa njama"

Mwandishi mmoja wa kigeni aliandika Kifo Cha Sokoine Mwalimu Nyerere Alihusika au Alifaidika na Kifo hicho

Mwandishi huyo alisema Nyerere alihofia Sokoine akiwa Rais atapendelea mfumo wa Sekta Binafsi

Prof Kabudi anasema Mwalimu Nyerere alisikitika sana baada ya kusoma Makala hayo na kumwomba Mungu wa Mbinguni amsamehe Mwandishi yule

Source: Mwanahalisi Digital
Ndio ukweli huo hata kama hatuwezi uthibitisha ila mazingira ya saisa Yanaweza sapoti hiyo hoja.
 
Back
Top Bottom