Ni moja katika ya ma profesa wachache wenye kujua kuzungumza na kujua kuchezea lugha ya Kiswahili. Huwa namsifu.
Ni profesa ambaye unaweza ukampa kazi awaelezee watu faida za kufuga Nzi ni nyingi kuliko kufuga Nyuki. Na akaelezea kwa mbwembwe sana na wengi wakafurahia sana na kuanza kuangalia namna ya kufuga Nzi.
Ndivyo alivyo. Ila kwa yeye kama yeye sidhani kama ana kitu anasimamia. Sidhani. Umri umeenda anaangalia kwa haraka haraka tu ataishije na kustaafu.
Kama nchi tulipitia vipindi vigumu, imagine ilitolewa Airbus kwenda kuleta hii alkasusu ya Madagascar"Hii dawa kule Madagascar rais anagawa mwenyewe mtaani"
View attachment 3112178
Watakuja hapa Mataga kusema "unaibagaza" nchi.Kama nchi tulipitia vipindi vigumu, imagine ilitolewa Airbus kwenda kuleta hii alkasusu ya Madagascar
Tumepitia mengi sana π€£π€£π€£"Hii dawa kule Madagascar rais anagawa mwenyewe mtaani"
View attachment 3112178
Katika sifa zote ambazo anazo,ziwe nzuri au mbaya,kutoka kwake ambacho ninamkubali ni kiingereza chake.Maana yake anakwenda na upepo hata alipokuwa anapitia kitabu cha Sokoine ,maeneo yanayo mkwaza bosi wake wa sasa alikuwa anayaruka kukwepa lawama.
TOKA MAKTABA :
Story za Prof. Palamagamba Kabudi
Prof. Palamagamba John Kabudi na story zake nyingi kuhusu masuala ya kimataifa pia kuhusu Julius Nyerere. Palamagamba Kabudi pia aliwahi kuwa mwandishi wa habari. Hivyo kolamu / column ya kuzungumzia mapito yake toka zama hizo mpaka sasa hivi itakuwa nafasi murua kuangazia habari motomoto...www.jamiiforums.com
πππBongo mamaehhhh"Hii dawa kule Madagascar rais anagawa mwenyewe mtaani"
View attachment 3112178
Iliwaponya wengi wakiwemo Mwenyekiti wa Chadema na mwanawe πππKama nchi tulipitia vipindi vigumu, imagine ilitolewa Airbus kwenda kuleta hii alkasusu ya Madagascar
Kwani we unafikiri nzi angetulia na kusoma asingekuwa na uwezo mkubwa wa kuzalisha asali kuliko nyuki!?Ni moja katika ya ma profesa wachache wenye kujua kuzungumza na kujua kuchezea lugha ya Kiswahili. Huwa namsifu.
Ni profesa ambaye unaweza ukampa kazi awaelezee watu faida za kufuga Nzi ni nyingi kuliko kufuga Nyuki. Na akaelezea kwa mbwembwe sana na wengi wakafurahia sana na kuanza kuangalia namna ya kufuga Nzi.
Ndivyo alivyo. Ila kwa yeye kama yeye sidhani kama ana kitu anasimamia. Sidhani. Umri umeenda anaangalia kwa haraka haraka tu ataishije na kustaafu.
Acha kutudanganya wewe!Iliwaponya wengi wakiwemo Mwenyekiti wa Chadema na mwanawe πππ
Katika sifa zote ambazo anazo,ziwe nzuri au mbaya,kutoka kwake ambacho ninamkubali ni kiingereza chake.
Huyu jamaa kwenye yai Hana mpinzani bwana. Kabudi anatema yai kama Benjamin mkapa enzi zake. Sisi wengine tukiongea kiingereza tunakitafsiri kwanza kichwani kabla ya kukitoa mdomon na Kuna muda tunachapia(mfano mama wa kugalagala waziri wa afya dada Jeni) ila kabood anaongea kingereza kama kiswahili au kimakonde asee!!
Kwenye lugha ya kiingereza nampa 100/100.
Basi pia anaweza kuwa tapeli..maana matapeli wanaweza kukuaminisha kitu ambacho sicho.Ni profesa ambaye unaweza ukampa kazi awaelezee watu faida za kufuga Nzi ni nyingi kuliko kufuga Nyuki. Na akaelezea kwa mbwembwe sana na wengi wakafurahia sana na kuanza kuangalia namna ya kufuga Nzi.
Vivid example ya mleta mada πππ"Hii dawa kule Madagascar rais anagawa mwenyewe mtaani"
View attachment 3112178