Kitwa-Mulomoni
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 1,779
- 1,119
Nchi gani duniani shida za wananchi zilipoisha na haziongezeki. Ukiisema moja tu, nitajua humuonei wivu Rais Magufuli. Bila hivyo ni upinzani mpofu!So what shida za wananchi zimeisha au ndiyo zimeongezeka?