Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This time amefukuliwa toka kwenye dampo1. Kujidhalilisha kuwa umetoka, umeokotwa Jalalani
2. Mheshimiwa Mungu
Jihadhali usije ukayarudia tena.
Pia asirudie kutoa macho kama kabanwa na mtego1. Kujidhalilisha kuwa umetoka, umeokotwa Jalalani
2. Mheshimiwa Mungu
Jihadhali usije ukayarudia tena.
Nakuelewa sana mkuu, kila mtu akiwa kimya ana akili, pale anapoanza kuongea ndio matatizo yanaanzia hapo.Kila mtu ana akili akiwa kimya ila akiongea tuu ndio utajua ulikuwa sahihi kumfikiria hivyo au laaah, maana utajikuta unakijutia ulichokiamini, shida ya inakuja pia pale watu wengi tumbo likikoswa chakula
Ndio maana watu wengi bright huwa niwasikilizaji zaidi kuliko kuongea wao zaidiNakuelewa sana mkuu, kila mtu akiwa kimya ana akili, pale anapoanza kuongea ndio matatizo yanaanzia hapo.
Mwana sheria wako una uhakika ana nyaraka za kutosha na nondo za kukutetea ukiwa nyuma ya nondo😁😁This time amefukuliwa toka kwenye dampo
Think Tank wa CCM , hakika CCM ina shida! kwani hapa tunacheza mduara mpaka mapambio ya hutamfanya chochote?Atarudia na hautamfanya lolote huyu Mwalimu wa Tundu Lisu 🐼
Umemaliza MkuuKila mtu ana akili akiwa kimya ila akiongea tuu ndio utajua ulikuwa sahihi kumfikiria hivyo au laaah, maana utajikuta unakijutia ulichokiamini, shida ya inakuja pia pale watu wengi tumbo likikoswa chakula
Naunga mkono hoja, that was just a slip of a tongue!. Prof. Kabudi ni bingwa wa Katiba, atamweleza Maza kuhusu ubatili wa Katiba na Ubatili wa Sheria mpya ya uchaguzi aliyoisaini hapa juzi kati hivyo sasa tutarajie huu ubatili utarekeboshwa.1. Kujidhalilisha kuwa umetoka, umeokotwa Jalalani
2. Mheshimiwa Mungu
Jihadhali usije ukayarudia tena.
Siyo kwamba ana akili, ni assumptions kwa kuwa hajawekwa kwenye kipimo sahihi.Nakuelewa sana mkuu, kila mtu akiwa kimya ana akili, pale anapoanza kuongea ndio matatizo yanaanzia hapo.
Huyu ni njaa tu inamsumbua.1. Kujidhalilisha kuwa umetoka, umeokotwa Jalalani
2. Mheshimiwa Mungu
Jihadhali usije ukayarudia tena.
Hizo ni swaga za kuleta ugali mezani,anaachaje sasa!1. Kujidhalilisha kuwa umetoka, umeokotwa Jalalani
2. Mheshimiwa Mungu
Jihadhali usije ukayarudia tena.
Watu wanawaza chaguzi tu. Ajabu sana. Sijui ni Nchi gan imeboresha maisha ya watu wake kwa kufanya Chaguzi. Naomba mfano wowote toka enzi na enzi( from Roman Kingdom to USA domination)Naunga mkono hoja, that was just a slip of a tongue!. Prof. Kabudi ni bingwa wa Katiba, atamweleza Maza kuhusu ubatili wa Katiba na Ubatili wa Sheria mpya ya uchaguzi aliyoisaini hapa juzi kati hivyo sasa tutarajie huu ubatili utarekeboshwa.
P