Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Ni Kabudi yule yule aliyenukuliwa akikana umuhimu wa Katiba Mpya licha ya kushiriki kwenye mchakato wake.Naunga mkono hoja, that was just a slip of a tongue!. Prof. Kabudi ni bingwa wa Katiba, atamweleza Maza kuhusu ubatili wa Katiba na Ubatili wa Sheria mpya ya uchaguzi aliyoisaini hapa juzi kati hivyo sasa tutarajie huu ubatili utarekeboshwa.
P
Umesahau?