Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Banana"Hii dawa huku anagawa rais mwenyewe mtaani"
Hivi hii juice ilipotelea wapi na zile cartons zote walizoleta?
View attachment 3071371
Is kumfundisha mtu chuoni hoja? ndiyo maana nasema wewe ni mfagizi wa corridor Lumumba. Huwezi kuwa na reasoning ya kijinga hivi! Nimekuwa nikikusoma kujua weledi/level of education yako, lkn as days go by, you seem to be mfagizi! chawa kachara asiyekuwa na reasoning!Lisu mwenyewe alishakiri kwamba Prof Kabudi alimfundisha The Hill
Simpambi namfahamu kwa karibu, ndie alikuwa supervisor wangu wa LL.B dissertation yangu pale UDSM. He is bold!, atamsaidia sana mama kwenye hoja za kisheria.Haya mambo hata kijana wa IJA anaweza kuyaelezea, usimpambe
This time amefukuliwa toka kwenye dampo
Simpambi namfahamu kwa karibu, ndie alikuwa supervisor wangu wa LL.B dissertation yangu pale UDSM. He is bold!, atamsaidia sana mama kwenye hoja za kisheria.
P
Umesahau asilete siasa majitaka za juice ya madagascar, alichafua cv yake asana ikapelekea wasomi wa bongo kuonekana taka taka1. Kujidhalilisha kuwa umetoka, umeokotwa Jalalani
2. Mheshimiwa Mungu
Jihadhali usije ukayarudia tena.
"Hii dawa huku anagawa rais mwenyewe mtaani"
Hivi hii juice ilipotelea wapi na zile cartons zote walizoleta?
View attachment 3071371
Ni mwalimu lakini masomo hakutunga yeye alikuwa anafundisha tu na inatokana na mwanafunzi uelewa wake. Kina siku mwalimu alitaka kutupeleka chaka hisabati fulani darasani. Nilimjibu Kwa hekima kwamba mwalimu naona kama tungepita njia hii. Naye alijibu kiutu uzima kwamba zote ni njia lakini naona hii inaweza kukurahisishia. Akimaanisha kunirahisishia mm siyo yeyeAtarudia na hautamfanya lolote huyu Mwalimu wa Tundu Lisu 🐼
Pascal Mayalla Pascal, mbona kama wewe ni mgeni katika siasa za watu weusi? huyu Kabudi hawezi kumwambia Samia jambo ambalo anaona inclination ya Samia iko tofauti na his (Kabudi) own rightful thinking! Anaangalia midomo ya samia inacheza vipi na atapitiliza humo humo ili mradi aende chooni!Simpambi namfahamu kwa karibu, ndie alikuwa supervisor wangu wa LL.B dissertation yangu pale UDSM. He is bold!, atamsaidia sana mama kwenye hoja za kisheria.
P
Wewe mpishi wa Ummy unajua tulikoanzia na niliyemjibu?Is kumfundisha mtu chuoni hoja? ndiyo maana nasema wewe ni mfagizi wa corridor Lumumba. Huwezi kuwa na reasoning ya kijinga hivi! Nimekuwa nikikusoma kujua weledi/level of education yako, lkn as days go by, you seem to be mfagizi! chawa kachara asiyekuwa na reasoning!
For your information mimi nimewafundisha wengi wengi for my 20 or so yrs of teaching! Haiondoi ukweli katika elimu kuwa some of my students can be more intelligent/knowledgeable than me in a workplace, even in academic fields!
Walimu wengi waliomfundisha Albert Einstein aliwazidi kufikiri na kugundua theories ambazo zinasimamia dunia tuliyo nayo!