Africa one
JF-Expert Member
- May 6, 2013
- 244
- 111
Kwani yeye uteuzi wake kama mbunge anasimama upande gani?
Viti maalum au mbunge wa kuchaguliwa?
Viti maalum au mbunge wa kuchaguliwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeamua kuichambua Katiba uitakavyo?Najua huwezi kuiona. Soma Ibara ndogo (b) Kisha uijadili kichwani mwako kwanza then uje huku!
Kabudi mwenyewe ni mbunge wa viti maalumWabunge wa viti maalumu ambao ni wanawake imeandikwa wapi?
Kipi kigumu kwako? Soma Ibara ndogo ya 1(b) katika ibara ya 66! Au Hadi uone neno Viti Maalumu? Hii Ni Taaluma ndugu, pole Kama hupati tafsiri hiyo!Umeamua kuichambua Katiba uitakavyo?
Soma Ibara ndogo ya 1(e), yupo hapo!Kwani yeye uteuzi wake kama mbunge anasimama upande gani?
Viti maalum au mbunge wa kuchaguliwa?
Mbunge wa kuteuliwa!Kwani yeye uteuzi wake kama mbunge anasimama upande gani?
Viti maalum au mbunge wa kuchaguliwa?
Haisemi wabunge wa viti maalumu!Najua huwezi kuiona. Soma Ibara ndogo (b) Kisha uijadili kichwani mwako kwanza then uje huku!
Prof Kabudi yuko sahihi..... Ile radimu ya Warioba ndio ilizingatia idea hiyo ya uwepo wa uwiano wa kijinsia kwa njia ya kuchaguliwa siyo watu kuleta wake zao!Kipi kigumu kwako? Soma Ibara ndogo ya 1(b) katika ibara ya 66! Au Hadi uone neno Viti Maalumu? Hii Ni Taaluma ndugu, pole Kama hupati tafsiri hiyo!
Prof Kabudi yuko sahihi!Huyu Propesa msimsiklize hajui kitu, ni njaa inaweza kumfanya akatamka lolote!
Kauli za Prof. Kabudi kabla na baada ya kuwa Waziri
Mkuu hata wewe unaweza kutaja uliloliona!kwaio hilo ndo waliloliona kwamba lipo kinyume na katiba ? mengine yanayovunjwa hayaonekani?!
Wabunge wa viti maalumu ambao ni wanawake imeandikwa wapi?[/QUOTE] Imeandikwa ibara ndogo ya (1) (b)....
Wajumbe wa Bunge
Ibara ya 66. Ibara ndogo ya (1),
Bila ya kuathiri masharti mengine ya ibara hii, kutakuwa na aina zifuatazo za Wabunge, yaani-
(a) Wabunge waliochaguliwa kuwakilisha majimbo ya uchaguzi;
(b) Wabunge wanawake wa idadi inayoongezeka, kuanzia asilimia ishirini ya Wabunge waliotajwa katika aya ya (a),
Kinyume na Katiba ipi iwapo hii ya Sasa Ibara ya 66(1)(b) inawatambua hao Wabunge Wanawake? Kinyume na Katiba ina maana Jambo Hilo limezuiliwa na Katiba na halipo Kisheria ila linafanyika! Nec sii Wapuuzi kuweka uuwiano Kama huo kila ufanyikapo Uchaguzi!Prof Kabudi yuko sahihi..... Ile radimu ya Warioba ndio ilizingatia idea hiyo ya uwepo wa uwiano wa kijinsia kwa njia ya kuchaguliwa siyo watu kuleta wake zao!
Hatunywi sumu hatujinyongi, trilioni moja pointi tanooo.Wabunge wa viti maalumu ambao ni wanawake imeandikwa wapi?
kwa nini taratibu? kwa kasi ya ajabu.Heshima ya Kabudi inapungua taratibu
jingalao anajua mbaneni, atasema tu.Trilioni 1.5 ziko wapi?