LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Haahaa kule ccm ni fomu moja tu inatoka kwenye pochi ya mwenyekitiMkumbo ni mjinga sana. Nadhani anamiss sana Demokrasia iliyopo Chadema na anatamani sana awashawishi CCM wa adopt.
Anapaswa tu kujifunza kuwa kwa yanayoendelea CHADEMA ndo inaenda kuwa mwalimu wa demokrasia nchini