Prof. Kitila Mkumbo: Arusha Imegeuka Kutoka kuwa Kitovu cha Maandamano hadi kuwa Kitovu cha Uwekezaji

Prof. Kitila Mkumbo: Arusha Imegeuka Kutoka kuwa Kitovu cha Maandamano hadi kuwa Kitovu cha Uwekezaji

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Prof. Kitila amesema aliwahi shiriki maandamano mara 3 hapo Arusha tena maandamano ambayo yalikuwa yanazuiwa hivyo walikuwa wanalazimisha.

Kwamba ukilazimisha inavuta attention ya Umma hasa Vijana hivyo wanahamasika kuja.

Akasema ila gwiji wa siasa Rais Samia hazuii tena maandamano,ukitaka andamana na Polisi utapewa hivyo kupelekea maandamano kupoteza radha na hamasa. 😁😁😁😁😁

My Take: Hongera Samia kuituliza Arusha na kuwa kitovu Cha Uwekezaji hasa sekta ya Utalii na Mikutano 👇👇

 
Kwakweli raha ya maandamano bomu la machozi,,,sio mnaenda maandamano kama mnafanya matembezi ya hisani
Samia amewaweza,mlijofanya kuandamana mwisho wa siku baada ya kukosa watu maandamano yakayeyuka 😁😁
 
Prof.Kitila amesema aliwahi shiriki maandamano mara 3 hapo Arusha tena maandamano ambayo yalikuwa yanazuiwa hivyo walikuwa wanalazimisha.

Kwamba ukilazimisha inavuta attention ya Umma hasa Vijana hivyo wanahamasika kuja.

Akasema ila gwiji wa siasa Rais Samia hazuii tena maandamano,ukitaka andamana na Polisi utapewa hivyo kupelekea maandamano kupoteza radha na hamasa. 😁😁😁😁😁

My Take
Hongera Samia kuituliza Arusha na kuwa kitovu Cha Uwekezaji hasa sekta ya Utalii na Mikutano 👇👇
= ladha
 
Mwinyi anaijenga Zanzibar kule Wawekezaji wanamiminika, huku kuna sehemu nimepita Mradi wa Serikali umejengwa Porini machakani

..Husseni atashindwa na Othman Masoud labda atumie nguvu.
 
Prof. Kitila amesema aliwahi shiriki maandamano mara 3 hapo Arusha tena maandamano ambayo yalikuwa yanazuiwa hivyo walikuwa wanalazimisha.

Kwamba ukilazimisha inavuta attention ya Umma hasa Vijana hivyo wanahamasika kuja.

Akasema ila gwiji wa siasa Rais Samia hazuii tena maandamano,ukitaka andamana na Polisi utapewa hivyo kupelekea maandamano kupoteza radha na hamasa. 😁😁😁😁😁

My Take: Hongera Samia kuituliza Arusha na kuwa kitovu Cha Uwekezaji hasa sekta ya Utalii na Mikutano 👇👇

View attachment 3033356

..wawekezaji wanakuja, na ajira zinazozalishwa.

..tatizo ni kwamba UMASIKINI na UKOSEFU WA AJIRA, unaongezeka kwa kasi kuliko uwekezaji unaofanyika.

..hatusemi kwamba Samia au Ccm hawafanyi kazi, la hasha. Tunachosema ni kwamba wanafanya kazi kwa kasi ndogo na hivyo kushindwa kuthibiti umasikini, ukosefu wa ajira,...
 
Mradi wa Serikali umejengwa Porini machakani majengo yamezungukwa na nyasi tupu hakuna mtu hakuna muendelezo mwisho yatakua magofu ya Kuku wa Zabanga
Huko ni kigamboni dege unasema yale magorofa 😃😃😃😃😃 niliwahi kuyaona wakati nakwenda kigamboni.
 
Back
Top Bottom