ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Unajivunia kuwa chawa, yaani kusifu na kuabudu kila kitu. Vijana wa Tanzania ni janga la dunia.Unaachaje kuwa Chawa wa Samia Kwa mfano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajivunia kuwa chawa, yaani kusifu na kuabudu kila kitu. Vijana wa Tanzania ni janga la dunia.Unaachaje kuwa Chawa wa Samia Kwa mfano
Kwani Mwinyi anatumia mtishamba gani kule Zanzibar? Ampe Mama Chura kidogo..wawekezaji wanakuja, na ajira zinazozalishwa.
..tatizo ni kwamba UMASIKINI na UKOSEFU WA AJIRA, unaongezeka kwa kasi kuliko uwekezaji unaofanyika.
..hatusemi kwamba Samia au Ccm hawafanyi kazi, la hasha. Tunachosema ni kwamba wanafanya kazi kwa kasi ndogo na hivyo kushindwa kuthibiti umasikini, ukosefu wa ajira,...
Dege imeuzwa ni Mali ya mtu binafsi sio Serikali tena.Yaan watajiuliza Mobutu kafika lini Bongo majengo mazuri ya Pesa nyingi yanaotewa nyasi hayana muendelezo wowote nikiyaangalia yale magofu ma'mae roho inaniuma sana
Maokoto ya uchawa ndio yakoje?
Nioneshe Ibada ya kuabudi ikifanyika.Unajivunia kuwa chawa, yaani kusifu na kuabudu kila kitu. Vijana wa Tanzania ni janga la dunia.
Jibu swali maokoto ya kichawa ndio yakoje,Kitila ndio ameandika huo ujinga,si wewe hapo? Jibu sasaMuulize Big Chawa Kitila na machawa wenzake wanayajua.
Huu ni msiba mzito kwa taifa la CCM.Yaan watajiuliza Mobutu kafika lini Bongo majengo mazuri ya Pesa nyingi yanaotewa nyasi hayana muendelezo wowote nikiyaangalia yale magofu ma'mae roho inaniuma sana
Nani ameuziwa hio degeDege imeuzwa ni Mali ya mtu binafsi sio Serikali tena.
Mwisho yule baba yenu si ndio aliharibu uchumi na sekta ya ujenzi au unajitoa ufahamu?
Serikali ilitangaza bei iliyouza ila haikutaja aliyenunua.Nani ameuziwa hio dege
Imeinunua Serikali yenyewe yaan imejiuziaSerikali ilitangaza bei iliyouza ila haikutaja aliyenunua.
Kitila ndiyo aliyewasakama waandamanaji wa Arusha na yeye mbona kageuka kuwa chawa? Kama yeye alivyozingatia maokoto ya uchawa na waandamanaji wamezingatia maokoto,ngoma droo.Jibu swali maokoto ya kichawa ndio yakoje,Kitila ndio ameandika huo ujinga,si wewe hapo? Jibu sasa
Pale unapoacha kutumia akili yako, unapotumia akili za ccm, unaposifu kila kilicho mbele yako bila kuangalia maslahi ya wananchi, upo kutetea na kuwasifu viongozi kwa mambo mengi ya hovyo, kulinda ukandamizaji wa wananchi, wala rushwa na ufisadi huku wewe ukiwa kijana mdogo tu ambaye bado future yako inahitaji sana nchi iimarike kiuchumi...unakuwa umeabudu na kusifu!Nioneshe Ibada ya kuabudi ikifanyika.
Tangu lini kufisu jambo zuri ikawa haramu au una matatizo ya akili?
Wakina nani hao,,maana sikumbuki lini nimeandamana,,,au safari ya kuelekea chalinzeMlikokuwa mnaandamana
Mwanaume kabisa unayesimamisha vizuri huwezi kuwa chawa.Unaachaje kuwa Chawa wa Samia Kwa mfano
Vijana wanachezea gari ya washawasha kama toi...hadi gari inaonekana kama halina lolote na serikali iliharibu pesa kulinunua.Kama hivi
Huyu SI ndiye yule prof asiyekuwa na maarifa kichwani nae ni kipara kipya tu.Prof. Kitila amesema aliwahi shiriki maandamano mara 3 hapo Arusha tena maandamano ambayo yalikuwa yanazuiwa hivyo walikuwa wanalazimisha.
Kwamba ukilazimisha inavuta attention ya Umma hasa Vijana hivyo wanahamasika kuja.
Akasema ila gwiji wa siasa Rais Samia hazuii tena maandamano,ukitaka andamana na Polisi utapewa hivyo kupelekea maandamano kupoteza radha na hamasa. 😁😁😁😁😁
My Take: Hongera Samia kuituliza Arusha na kuwa kitovu Cha Uwekezaji hasa sekta ya Utalii na Mikutano 👇👇
Maandamano ni njia mojawapo (tena niseme very effective ya kufikisha ujumbe kwa wahusika).Prof. Kitila amesema aliwahi shiriki maandamano mara 3 hapo Arusha tena maandamano ambayo yalikuwa yanazuiwa hivyo walikuwa wanalazimisha.
Kwamba ukilazimisha inavuta attention ya Umma hasa Vijana hivyo wanahamasika kuja.
Akasema ila gwiji wa siasa Rais Samia hazuii tena maandamano,ukitaka andamana na Polisi utapewa hivyo kupelekea maandamano kupoteza radha na hamasa. 😁😁😁😁😁
My Take: Hongera Samia kuituliza Arusha na kuwa kitovu Cha Uwekezaji hasa sekta ya Utalii na Mikutano 👇👇