Prof.Kitila Mkumbo atabadilisha sana mipango ya nchi hii, msikilizeni TBC akieleza mipango ya nchi

Prof.Kitila Mkumbo atabadilisha sana mipango ya nchi hii, msikilizeni TBC akieleza mipango ya nchi

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Nasikia burudani sana jinsi msomi huyu anavyowasilisha hoja mbalimbali za mipango ya wizara yake.

Nna uhakika mkubwa sana nchi inakwenda kubadilika kutokana na mipango mizuri iliyowekwa na serikali ikitokana na ubunifu wake mkubwa.

Amejikita sana kwenye kuinua uchumi hasa maeneo ya kilimo, biashara, viwanda na usafirishaji.

Tusikilize hoja zake kwa niaba ya serikali ndio tutatujua serikali hii inatenda zaidi kuliko kelele.

Nainjoy sana kumsikiliza msomi huyu akiongea kwa data.
 
Mipango sio matumizi.
 

Attachments

  • 20240609_193157.jpg
    20240609_193157.jpg
    277.5 KB · Views: 3
CHADEMA watanuna. Ni kwaavile hawana diravwala maono. Wao ni kusaka nguvu za Dola tu.

Ngoja nimsikilize Kitila.
 
Nasikia burudani sana jinsi msomi huyu anavyowasilisha hoja mbalimbali za mipango ya wizara yake.

Nna uhakika mkubwa sana nchi inakwenda kubadilika kutokana na mipango mizuri iliyowekwa na serikali ikitokana na ubunifu wake mkubwa.

Amejikita sana kwenye kuinua uchumi hasa maeneo ya kilimo, biashara, viwanda na usafirishaji.

Tusikilize hoja zake kwa niaba ya serikali ndio tutatujua serikali hii inatenda zaidi kuliko kelele.

Nainjoy sana kumsikiliza msomi huyu akiongea kwa data.
Chawa unahangaika kweli kila mtu unampalatia palatia, aibu kubwa hii
 
Tanzania Ina mipango mizuri sana iliyoko kwenye makatlratasi kuliko nchi yeyote duniani Lakini isiyotekelezwa

Pili Tanzania inaongoza duniani Kwa kuwa na watoa hotuba wazuri wasiokuwa watendaji wazuri.Wana midomo ya kuhutubia kama wanapuliza moto ila utendaji hamna kitu
 
Nasikia burudani sana jinsi msomi huyu anavyowasilisha hoja mbalimbali za mipango ya wizara yake.

Nna uhakika mkubwa sana nchi inakwenda kubadilika kutokana na mipango mizuri iliyowekwa na serikali ikitokana na ubunifu wake mkubwa.

Amejikita sana kwenye kuinua uchumi hasa maeneo ya kilimo, biashara, viwanda na usafirishaji.

Tusikilize hoja zake kwa niaba ya serikali ndio tutatujua serikali hii inatenda zaidi kuliko kelele.

Nainjoy sana kumsikiliza msomi huyu akiongea kwa data.
Ana mipango ipi? Huyu ni chawa Pro na mtu mwenye kufoji vitu. Ni lini alisomea economic zaid ya u chawa.? Ana PhD ya masturbation ww unasema ana mipango.
 
Nasikia burudani sana jinsi msomi huyu anavyowasilisha hoja mbalimbali za mipango ya wizara yake.

Nna uhakika mkubwa sana nchi inakwenda kubadilika kutokana na mipango mizuri iliyowekwa na serikali ikitokana na ubunifu wake mkubwa.

Amejikita sana kwenye kuinua uchumi hasa maeneo ya kilimo, biashara, viwanda na usafirishaji.

Tusikilize hoja zake kwa niaba ya serikali ndio tutatujua serikali hii inatenda zaidi kuliko kelele.

Nainjoy sana kumsikiliza msomi huyu akiongea kwa data.
Wajinga kama wewe ndio mnakaa kumsikiliza, Alie juwa na mioangi ni Baba wa Taifa pekee, angalia alivyo locate viwanda, hawa wengine ni wahuni tu
 
Huyu jamaa ni Mbunge ambaye kura hata robo ya idadi hakupata - hii nchi ina mambo mengi ya hovyo - Mpina yupo sahihi 100%.
 
Nasikia burudani sana jinsi msomi huyu anavyowasilisha hoja mbalimbali za mipango ya wizara yake.

Nna uhakika mkubwa sana nchi inakwenda kubadilika kutokana na mipango mizuri iliyowekwa na serikali ikitokana na ubunifu wake mkubwa.

Amejikita sana kwenye kuinua uchumi hasa maeneo ya kilimo, biashara, viwanda na usafirishaji.

Tusikilize hoja zake kwa niaba ya serikali ndio tutatujua serikali hii inatenda zaidi kuliko kelele.

Nainjoy sana kumsikiliza msomi huyu akiongea kwa data.
Juzi ulikunwa na Chalamila, asubuhi ya leo ukakunwa na Rango hivi sasa inakunwa na Kitila Mkumbo, hii imekaaje?
 
Kitila ni moja ya wasomi na viongozi wazuri, shida ni mfumo.
Anaweza kueleza mipango mizuri sana lakini isitekelezwe.
Maneno na matendo yao mara nyingi yanakinzana.
 
Back
Top Bottom