Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Kafanya nini cha maana yaani hayo maneno yake ndo yanakuzuzuaCHADEMA watanuna. Ni kwaavile hawana diravwala maono. Wao ni kusaka nguvu za Dola tu.
Ngoja nimsikilize Kitila.
Msikilize tena. Hasira za nini tena?Kafanya nini cha maana yaani hayo maneno yake ndo yanakuzuzua
Chawa unahangaika kweli kila mtu unampalatia palatia, aibu kubwa hiiNasikia burudani sana jinsi msomi huyu anavyowasilisha hoja mbalimbali za mipango ya wizara yake.
Nna uhakika mkubwa sana nchi inakwenda kubadilika kutokana na mipango mizuri iliyowekwa na serikali ikitokana na ubunifu wake mkubwa.
Amejikita sana kwenye kuinua uchumi hasa maeneo ya kilimo, biashara, viwanda na usafirishaji.
Tusikilize hoja zake kwa niaba ya serikali ndio tutatujua serikali hii inatenda zaidi kuliko kelele.
Nainjoy sana kumsikiliza msomi huyu akiongea kwa data.
CHADEMA imeingiaje hapa?. Punguza uchamaCHADEMA watanuna. Ni kwaavile hawana diravwala maono. Wao ni kusaka nguvu za Dola tu.
Ngoja nimsikilize Kitila.
Ana mipango ipi? Huyu ni chawa Pro na mtu mwenye kufoji vitu. Ni lini alisomea economic zaid ya u chawa.? Ana PhD ya masturbation ww unasema ana mipango.Nasikia burudani sana jinsi msomi huyu anavyowasilisha hoja mbalimbali za mipango ya wizara yake.
Nna uhakika mkubwa sana nchi inakwenda kubadilika kutokana na mipango mizuri iliyowekwa na serikali ikitokana na ubunifu wake mkubwa.
Amejikita sana kwenye kuinua uchumi hasa maeneo ya kilimo, biashara, viwanda na usafirishaji.
Tusikilize hoja zake kwa niaba ya serikali ndio tutatujua serikali hii inatenda zaidi kuliko kelele.
Nainjoy sana kumsikiliza msomi huyu akiongea kwa data.
Ushanuna?. Unaona sasa.CHADEMA imeingiaje hapa?. Punguza uchama
Wajinga kama wewe ndio mnakaa kumsikiliza, Alie juwa na mioangi ni Baba wa Taifa pekee, angalia alivyo locate viwanda, hawa wengine ni wahuni tuNasikia burudani sana jinsi msomi huyu anavyowasilisha hoja mbalimbali za mipango ya wizara yake.
Nna uhakika mkubwa sana nchi inakwenda kubadilika kutokana na mipango mizuri iliyowekwa na serikali ikitokana na ubunifu wake mkubwa.
Amejikita sana kwenye kuinua uchumi hasa maeneo ya kilimo, biashara, viwanda na usafirishaji.
Tusikilize hoja zake kwa niaba ya serikali ndio tutatujua serikali hii inatenda zaidi kuliko kelele.
Nainjoy sana kumsikiliza msomi huyu akiongea kwa data.
Watu Wana discuss mipango ya Kitila wewe unakimbilia CHADEMAUshanuna?. Unaona sasa.
Wewe unaona haijaingiaje hapo?
We Mchumi nae.
Juzi ulikunwa na Chalamila, asubuhi ya leo ukakunwa na Rango hivi sasa inakunwa na Kitila Mkumbo, hii imekaaje?Nasikia burudani sana jinsi msomi huyu anavyowasilisha hoja mbalimbali za mipango ya wizara yake.
Nna uhakika mkubwa sana nchi inakwenda kubadilika kutokana na mipango mizuri iliyowekwa na serikali ikitokana na ubunifu wake mkubwa.
Amejikita sana kwenye kuinua uchumi hasa maeneo ya kilimo, biashara, viwanda na usafirishaji.
Tusikilize hoja zake kwa niaba ya serikali ndio tutatujua serikali hii inatenda zaidi kuliko kelele.
Nainjoy sana kumsikiliza msomi huyu akiongea kwa data.