Cannibal OX
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,164
- 3,553
Jifunze kushuku kila mtu usijiachie Mkuu!Hahahahaaa! Ndiyo ninyi mkimuona mwehu anaongea kiingereza mnasema ni shushushu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jifunze kushuku kila mtu usijiachie Mkuu!Hahahahaaa! Ndiyo ninyi mkimuona mwehu anaongea kiingereza mnasema ni shushushu!
Maneno mengine ya wahenga yanawazuzua ninyi. Hata mimi mnywa balimi hapa Kijijini kwetu wananishuku ni usalama wa taifa.Jifunze kushuku kila mtu usijiachie Mkuu!
Naweza kukushuku unatembea na Wife wangu siyo lazima neno kushuku lihusiane na usalama wataifaManeno mengine ya wahenga yanawazuzua ninyi. Hata mimi mnywa balimi hapa Kijijini kwetu wananishuku ni usalama wa taifa.
Hahahaa! Mkuu kutembea na wife wa mtu ni uhuni mbaya kabisa. Haipendezi.Naweza kukushuku unatembea na Wife wangu siyo lazima neno kushuku lihusiane na usalama wataifa
Zama za sasa niHizo ni zama za kaleeeeeeee
Ni nondo zitawamaliza huko..
Na sio hongo... mnalo bora msiweke mgombea Kitila akigombea eeeeeeh
......Singida Kusini..Songela ..Kitila hatoki Ndago. Ila anatokea Mtowa karibu na Shelui
Nyamaza kimya kama huijui Singida hilo haliwezi tokea na kama wanataka kuliweka jimbo rehani wampeleke Kitila. Kumbuka jimbo la nyalandu liko Singida vijijini ambapo kwa asili ni Wanyaturu, Kumbuka prof Kitila ni mnyiramba anaetoka wilaya ya iramba. Sasa umeambiwa hakuna wanyaturu kutoka jimbo hilo wenye uwezo hadi waazime MTU kutoka jimbo lingine? Hapana haitotokea kwani hata Elibariki Kingu alishinda ubunge wangu unyaturuni sababu alizaliwa huko alisomea huko na anamakazi huko.Hayawi hayawi, sasa yamekuwa. Kile kitendawili kigumu kilichokuwa kimekosa majibu sasa majawabu yake yako bayana! Kuna kila aina ya dalili CCM wanamuandaa Prof Kitila Mkumbo kuchauana vikali na Dr Lazaro Nyalandu katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika kumchagua mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini baada ya Dr Nyalandu kujiondoa CCM na kujiunga CHADEMA hivi karibuni.
Wataalamu wa masuala ya siasa wanabainisha kuwa CCM wamejithathmini na kuona wamteue Prof Kitila kuwa mgombea wao ili achuane na mgombea wa upinzani, Dr Nyalandu. Sababu zinazopelekea CCM walenge kumteua Prof Kitila ni kutokana na hali ya siasa za Kanda ya Kati ambazo hazitabiriki hata kidogo. Inadhaniwa Prof Kitila ana uwezekano wa kumuangusha Dr Nyalandu katika uchaguzi huo kwa kuwa bado ana chembechembe za upinzani, hivyo kuweza kujizolea mashabiki kutoka upande wa upinzani pamwe na upande wa CCM.
Aidha,upande wa CHADEMA nao wanatamba kuibuka washindi katika jimbo hilo kutokana na kuwa na hazina nzuri ya wafuasi, huku wakitarajia kupata "kura za chuki" za kutosha kutoka kwa wanaCCM, hasa wale wanaokerwa jinsi nchi inavyotawaliwa kwa sasa.
MAONI YANGU
Mimi kete yangu naitupia kwa Dr Nyalandu kuibuka na ushindi katika uchaguzi huo mdogo kwa kuwa bado ana wafuasi wa kutosha kutoka upande wa CCM, hasa wale wasioridhishwa jinsi CCM inavyomwandama Dr Nyalandu na kashfa za kutunga huku wakijua fika utumishi wa Dr Nyalandu haujawahi kuwa na doa lolote.
Je, wewe dau lako unalitupia kwa nani na kwa sababu gani? Toa maoni yako sasa!
Mkuu mbona unaandika kama vile unaghani mashairi? Kulikoni?Kitila Mkumbo Pr, akichukua fomu ya kugombea singida kaskazin , nitakuja kukupigia kampen na ninaamini ndiye mtatuzi wa matatizo hapo.
Pr ,Kitila ni mtu ambaye yupo smart na anafanya research na kutambua chanzo cha matatizo katika utendaji kwa mana
Alipokuwa cdm, cdm ilikuwa moto kwanini jibu ni dogo sana ,huyu mh alikuwa haonekani lakin kazi yake ilikuwa kubwa sana kufanya tafiti na kuwaletea viongozi wa juu wa cdm ,kama Zitto, Mbowe na Slaa.
Pr, Kitila ndiye aliyekuwa anafundisha vijana kujenga hoja pale cdm , na ikafikia mahali hata serikali awamu ya nne kuwaagopa wadogo kama ,Zitto, Mnyika na Mdee. Lkn leo baada ya baba kuondoka angalia uwezo wao ulivyopomoko
Angalia pia Udsm alivyofanya kazi iliyotukuka.
Singida Kaskazin inamhitaji zaid Mkumbo kuliko yeye anavyohitaji
Ni muda tu.....tuvute subraDr Nyalandu aliwahi kushtakiwa mahakama ipi kwa UFISADI?