Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaaa! Mkuu, uwe siriasi. Hivi hajui kupangilia mambo? Absurd!Sawa mtoto wa prof ila mwambie baba akufundishe kuandika na kupanga points vizuri.
Utafiti wake sijauona mimi, au anafanyia kwenye karatasi?Chagademus wamebaki kutoa matamko hawana mtaalaam kama Prof wa kufanya tafiti.
Mtu makini hawezi kuwepo chama cha kihuni kama sisyemu. Wengi mliopo sisyemu ni aidha kwa kuwania madaraka au kusubiri kuiba tu. Kama unabisha ,apia!Chagademus wamebaki kutoa matamko hawana mtaalaam kama Prof wa kufanya tafiti.
Tafuta Mkuu au unadhani Mbowe atakuletea tafiti alizofanya Prof Mkumbo wakati alimbatiza jina la Msaliti ili alinde maslahi binafsi ya Chagademus & Pliers?Utafiti wake sijauona mimi, au anafanyia kwenye karatasi?
Kwa hiyo Nyalandu ni mfano wa watu makini waliokimbia?Mtu makini hawezi kuwepo chama cha kihuni kama sisyemu. Wengi mliopo sisyemu ni aidha kwa kuwania madaraka au kusubiri kuiba tu. Kama unabisha ,apia!
Kila MTU aende jimbo alilozaliwa aende kwa mwigulu
Mtu akimkimbia shetani na mambo yake utamuitaje?Kwa hiyo Nyalandu ni mfano wa watu makini waliokimbia?
tatizo mnasahau kuwa kitila katokea act wazalendo kwenda ccm. kama alikuwa smart tueleze ni vipi kaisaidia act wazalendoKitila Mkumbo Pr, akichukua fomu ya kugombea singida kaskazin , nitakuja kukupigia kampen na ninaamini ndiye mtatuzi wa matatizo hapo.
Pr ,Kitila ni mtu ambaye yupo smart na anafanya research na kutambua chanzo cha matatizo katika utendaji kwa mana
Alipokuwa cdm, cdm ilikuwa moto kwanini jibu ni dogo sana ,huyu mh alikuwa haonekani lakin kazi yake ilikuwa kubwa sana kufanya tafiti na kuwaletea viongozi wa juu wa cdm ,kama Zitto, Mbowe na Slaa.
Pr, Kitila ndiye aliyekuwa anafundisha vijana kujenga hoja pale cdm , na ikafikia mahali hata serikali awamu ya nne kuwaagopa wadogo kama ,Zitto, Mnyika na Mdee. Lkn leo baada ya baba kuondoka angalia uwezo wao ulivyopomoko
Angalia pia Udsm alivyofanya kazi iliyotukuka.
Singida Kaskazin inamhitaji zaid Mkumbo kuliko yeye anavyohitaji
Mkuu sihitaji nguvu kubwaaaa kukuaminisha ufisadi wa Nyarandu? Tuache siasa za ushabiki kama Premier League au Yanga na Simba.Mtu akimkimbia shetani na mambo yake utamuitaje?
Weka ufisadi wake tuuone. Acha kuchekea uvunguni huku unatoa udenda.Mkuu sihitaji nguvu kubwaaaa kukuaminisha ufisadi wa Nyarandu? Tuache siasa za ushabiki kama Premier League au Yanga na Simba.
Vitu viko wazi kama vazi la ma.la.ya
Kitila hatoki Ndago. Ila anatokea Mtowa karibu na Shelui1. Mkumbo Kitila HAJAWAHI kuwa na "chembechembe" za UPINZANI. Ni ccm DAMU tangu zamani.
2. Mkumbo Kitila anatoka NDAGO (Singida Kusini), kugombea Singida Kaskazini ni kujitangaza KUSHINDWA kabla ya ushindani kuanza.
3. Itakuwa ni ushindani wa Kitila "aliyeTOKA" upinzani kwenda CCM na Nyalandu aliyetoka CCM kwenda upinzani. Watakuwa wanajibu swali la Paskali wa JF: "Yupi mzuri, shetani aliyebadilika kuwa Malaika, au Malaika aliyebadilika kuwa shetani?"
4. Inawezekana pia wana Singida wakapiga kura "KUMPA ZAWADI TLS" .....
Siweki ufisadi wake sasahivi lakini bwana yule anatumiwa na Shirika flani ya kijasusi kwa iyo apo ni wasiwasi wa uzalendo tu. Uzi upo humu JF tena kitambo wakati anavaa kijaniWeka ufisadi wake tuuone. Acha kuchekea uvunguni huku unatoa udenda.
Hahahahaaa! Ndiyo ninyi mkimuona mwehu anaongea kiingereza mnasema ni shushushu!Siweki ufisadi wake lakini bwana yule anatumiwa na Shirika flani ya kijasusi kwa iyo apo ni wasiwasi wa uzalendo tu. Uzi upo humu JF tena kitambo wakati anavaa kijani