Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina uhakika na u DR wa Nyalandu lakini sioni ajabu kwa hilo. Kuna watu wengi sana wanazo PHd lakini hawatangulizi kiungio hicho cha Dr katika kujitambulisha. Lakini wale wapenda ujiko ndio mmmh!Umhh Dr. Nyalandu toka lini ? Bavicha kwa kupamba visivyopambika
we hujui hata usemacho
Dungunyi seminary iko wapi? kwa wanyiramba?
Diaghwa seminaei iko wapi? lwa wanyiramba?
Nitajie walau wasomi kumi wanyiramba
alafu nitajie umuhimu wao katika nchi
wanyiramba ni watu wenye roho mbaya tu...ndio wanyaturu wanawajua hivo
so take it from me ,,,mnyiramba hata iweje wanyaturu wa Ilongero hawawezi kumchagua
Mbona unatoa mifano ambayo haiendani? Kwanza una umri gani mkuu? Maana isije ikawa najadiliana na mwanafunzi wa chekechea.Na yule mhasibu wa Takukuru ni wa Chadema sio au Leo akitangaza naacha kazi na najiunga Chadema atakuwa mtakatifu! Au vipi?
Badamu batachuruzikaeeee[emoji15] [emoji83] [emoji83]Patachimbika !
Kumbe mshabikiiii!!!!.... Na huelewi.Mbona unatoa mifano ambayo haiendani? Kwanza una umri gani mkuu? Maana isije ikawa najadiliana na mwanafunzi wa chekechea.
Kauli utajua unaongea na [emoji196]Mbona unatoa mifano ambayo haiendani? Kwanza una umri gani mkuu? Maana isije ikawa najadiliana na mwanafunzi wa chekechea.
View attachment 632578
Huyu ndiye mtu aliye ijenga chadema jimbo la singida kaskazini kwa zaidi ya miaka kumi Huyu ndiye aliye kuwa mpinzani wa nyarandu jimboni
Kawa Dr. Lini?
Siasa ni mchezo mchafu, njaa zinaponza kusahau ya nyuma! DaaaaAnaweza kuongea mengi kama haya;
![]()
![]()
Mkuu kwa Nyalandu ni Wanyaturu na huyo Kitila anatoka kwa Wanyiramba. Kule atokako MwiguluWakuu, mimi bado narudia kusema hivi: Njia ya ushindi kwa Dr Nyalandu ipo wazi kabisa. Anyway, let us wait and see what will happen ila mtakuja kuniuliza. Nyalandu ni mchapakazi hodari na wala hana kashfa yoyote kama CCM wanavyojaribu kuonyesha hasira zao baada ya yeye kuhamia CHADEMA. Aidha, Dr Nyalandu ameiletea Singida Kaskazini maendeleo ya kutosha ndio maana wamekuwa wakimchagua kuwa mbunge wao kwa muda wa miaka 20 mfululizo. Msidhani kwamba Wanyiramba ni mazombie, wanajitambua sana.
PhD ya Chuo gani Ndugu? Tinampongeza.Hivi karibuni