Tetesi: Prof. Kitila Mkumbo kuchuana vikali na Nyalandu jimboni

kawaida ni CCM kwa CCM hivyo hakuna cha kupoteza hapo...
 
Kakonko kwa CDM ana andaliwa Prof wa elimu akalikomboe jimbo....
Mbeya mjini ana andaliwa Dr. naibu spika akalikomboe...
na majimbo mengine kama ya DSM wana fanya maendeleo ya hali na mali ili baadae wawe na hoja nzito zidi ya upinzani na kurudisha jiji kwa watawala... Chuga napo hali ni ile ile kama DSM... moshi wamemtumia mpinzani akasawazishe mambo... 2020 kura nyingi za urais zitaongezeka kwa watawala na kupungua kwa wapinzani kwa mikakati waliyo nayo na CDM wana jifanya kama vipofu... waamke
 
Hizo ni zama za kaleeeeeeee

Ni nondo zitawamaliza huko..
Na sio hongo... mnalo bora msiweke mgombea Kitila akigombea eeeeeeh
Zama za sasa ni
[emoji379][emoji379][emoji379]Pyu.. pyu.. pyu.. pyu..
 
Nyamaza kimya kama huijui Singida hilo haliwezi tokea na kama wanataka kuliweka jimbo rehani wampeleke Kitila. Kumbuka jimbo la nyalandu liko Singida vijijini ambapo kwa asili ni Wanyaturu, Kumbuka prof Kitila ni mnyiramba anaetoka wilaya ya iramba. Sasa umeambiwa hakuna wanyaturu kutoka jimbo hilo wenye uwezo hadi waazime MTU kutoka jimbo lingine? Hapana haitotokea kwani hata Elibariki Kingu alishinda ubunge wangu unyaturuni sababu alizaliwa huko alisomea huko na anamakazi huko.
 
Mkuu sihitaji nguvu kubwaaaa kukuaminisha ufisadi wa Nyarandu? Tuache siasa za ushabiki kama Premier League au Yanga na Simba.

Vitu viko wazi kama vazi la ma.la.ya
Dr Nyalandu aliwahi kushtakiwa mahakama ipi kwa UFISADI?
 
Mkuu mbona unaandika kama vile unaghani mashairi? Kulikoni?
 
Atashinda nyalandu, atatangazwa mkumbo
Kwa nini!
Hujaona ya tumbili
Umafia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…