Prof. Kitila Mkumbo: Pato la kila Mtanzania ni milioni 2.8

Kitila fanya mpango za kwangu nizipate kabla ya krisimass nitakushukuru Sana.
 
Jamani iko hivi:
Tuchukulie kweli Mko watatu tu-Wewe Bakhresa na Mo.

Maana yake ninini?

Ni kwamba Ukigawa Jumla ya Mapato yenu-Wewe utakuwa na Value ya Takribani 300B.

Lakini kimsingi utakuwa huna hata Kumi Mfukoni!

ISIPOKUWA:
-Huduma za Hospital utakuwa unatibiwa St Thomas.

-Barabara ya kwenda nyumbani kwako ni Lami.

-Ulinzi ni Warda Gusrd.

Na vitu kama hivo.

Matajiri wazawa wakiongezeka wanasaidia Huduma za kijamii kuwa Bora sana licha ya kwamba maisha ya mtu mmoja mmoja yanaweza yasiwe na Cash huko Bank.

Chukua mfano wa Nchi kama Libya kipindi cha Ghaddafi.

Au Sweden na Nyinginezo.

Mfano Mwingine ni kwamba Iwapo Bandari itatuwezesha kupata Mapato ya 2T kwa Mwezi pekee basi ni Rahisi Serikali kuacha watu wa Mitaji Midogo wasilipe kodi ili wakue.

Prof kitila Mkumbo yuko sahihi lakini kwa vile watu hawana Pesa mfukoni basi wanahasira!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…