Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni jina limejaa Tanzania tofauti na hilo jina la mazayuni wa mashariki ya kati.Kwani Steven ni jina la ukoo gani Tanzania? shame on you
Mumeo anaitwa nani na unanijua mimi ni mweusi au mweupe?Walau nyerere ni mweusi nwenzetu ,wewe ndio unatia aibu kujifananisha na waarabu siju wazungu ,AIBU
Wewe dada angu huna akili, nimekwambia nataka elimu ya Mkumbo au nataka pesa?Hakufikii wewe na hutakaa ufikie kiwango chake cha elimu .Unatia aibu kuwa na uwivu kwa wanaume wenzeka ,kisa tu ana elimu kuliko wewe
Kwani mimi nataka jina lilozoeleka Tanzania?Ni jina limejaa Tanzania tofauti na hilo jina la mazayuni wa mashariki ya kati.
Mwenye akili mkumbo? just curious tuWewe unayetumia jina la myahudi mmoja wa Israel ambaye nina uhakika halijui jina lako halisi ndiye mtu mwenye akili kushinda kila mtu hapa Tanzania!.
Kwa kutumia tu majina wa wapuuzi kama huyo Netanyau (muuaji) utakua ni mwafrika mwenzetu mkuu tena wa machame .Acha kutia aibu wamachame wenzaka aisee🙆♂️🙆♂️Mumeo anaitwa nani na unanijua mimi ni mweusi au mweupe?
Kwanza kwa kuficha tu jina lako tayari inaonyesha ulivyo ngedere(mpuuzi na wa kupuuzwa)Kwani mimi nataka jina lilozoeleka Tanzania?
Wewe dada angu huna akili, nimekwambia nataka elimu ya Mkumbo au nataka pesa?
Huna akil ya kuweza kufikia level ya uprofesq MamgiWewe dada angu huna akili, nimekwambia nataka elimu ya Mkumbo au nataka pesa?
Mh mjumbe, furaha za hao zinawakilisha furaha za wote waliopo pande tofauti tofauti za Tz[emoji2]To be honest....
Kweli mTanzania mwenye maisha ya chini asie weza hata kujilipia bill ya umeme wa REA hiyo SGR umemuongezea furaha ya wapi...[emoji3525]
Kwanini asiseme tu kwamba hiyo SGR imeongeza furaha kwa wakazi wa Dar, Moro na Dom wenye maisha na uwezo wa kati..[emoji849]
Acha ujinga wakoKwa kutumia tu majina wa wapuuzi kama huyo Netanyau (muuaji) utakua ni mwafrika mwenzetu mkuu tena wa machame .Acha kutia aibu wamachame wenzaka aisee🙆♂️🙆♂️
We ni chizi, jibu hojaKwanza kwa kuficha tu jina lako tayari inaonyesha ulivyo ngedere(mpuuzi na wa kupuuzwa)
Jinga wewe,nimekwambia nataka kuwa Prof?Huna akil ya kuweza kufikia level ya uprofesq Mamgi
Ujinga ni wewe unatumia jina na myahidi ambae hata huna uhusiano na damu walau tuseme unatumia jina la mjomba badala ya majina ya koo za kimachame kama vile ,malisa,lema na Mbowe .Acha ujinga wako
Si ndio maana umetapika ukivyosikia tu Prof katoa faida ya uwepo wa SGR 🙆♂️🙆♂️🙆♂️Jinga wewe,nimekwambia nataka kuwa Prof?
Jibu hoja ya gedere alificha jina lake ?We ni chizi, jibu hoja
Acha ukabila wewe mjingaUjinga ni wewe unatumia jina na myahidi ambae hata huna uhusiano na damu walau tuseme unatumia jina la mjomba badala ya majina ya koo za kimachame kama vile ,malisa,lema na Mbowe .