Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wewe umechanganyikiwaSi ndio maana umetapika ukivyosikia tu Prof katoa faida ya uwepo wa SGR 🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umechanganyikiwaSi ndio maana umetapika ukivyosikia tu Prof katoa faida ya uwepo wa SGR 🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Ndio maana ni Prof,embu weka CV yako hapa ,ila kama ya mzee mbowe,Lema,Sugu au mdude usiweke hapa ni aibu saanaMwenye akili mkumbo? just curious tu
Umetumwa wewe shetaniJibu hoja ya gedere alificha jina lake ?
Embu tueleze kubusu hawa wasemaji wa chadema;Acha ukabila wewe mjinga
Shetani ni mwenye kujificha kama wewe unatumia jina bandia ,unadhani kuna ushetani zaidi ya huo?Umetumwa wewe shetani
Lema anamsemea mumeo labda! kuna mpare aligombea akanyimwa? mbona CCM imejaa waislam tupuEmbu tueleze kubusu hawa wasemaji wa chadema;
1:Mzee Mbowe
2:Mrema
3:Lema
Hapo kuna mmpare Mangi?
Una umia ukiwa wapi?Shetani ni mwenye kujificha kama wewe unatumia jina bandia ,unadhani kuna ushetani zaidi ya huo?
Natumia jina langu la ukoo MaWewe umechanganyikiwa
Wapare hawawezi pewa nafasi za uongozi kwenye SACCOSLema anamsemea mumeo labda! kuna mpare aligombea akanyimwa? mbona CCM imejaa waislam tupu
Wewe ngedere wa SACCOS unaetumia jina ambalo sio la kwako ili uendeleze ushetani wako wa kutukana ovyo ovyo tu na watu kama nyie ndio mnaoharibu JF.Una umia ukiwa wapi?
Lema anakesha mitandao kuisemea SACCOS au kuna lem mwingine tena ?Lema anamsemea mumeo labda! kuna mpare aligombea akanyimwa? mbona CCM imejaa waislam tupu
Prof wa psychology ya ualimu ni mwalimu mkuu tu aliyechangamka, anyway! Sihitaji kuweka yangu kwa kuwa sishindani na ntu na wala sio kiongozi mie hamna mwenye haki ya kunihoji including wewe chawa!Ndio maana ni Prof,embu weka CV yako hapa ,ila kama ya mzee mbowe,Lema,Sugu au mdude usiweke hapa ni aibu saana
CHADEMA hao ni matatizo matupu.Kwanza kwa kuficha tu jina lako tayari inaonyesha ulivyo ngedere(mpuuzi na wa kupuuzwa)
Hakuna mpare anaitwa Makupa mpuuzi weweNatumia jina langu la ukoo Ma
Wapare hawawezi pewa nafasi za uongozi kwenye SACCOS
Tusi gani dada angu nimekutukana?Wewe ngedere wa SACCOS unaetumia jina ambalo sio la kwako ili uendeleze ushetani wako wa kutukana ovyo ovyo tu na watu kama nyie ndio mnaoharibu JF.
UWT mnakwama mahaliLema anakesha mitandao kuisemea SACCOS au kuna lem mwingine tena ?
Wapi nimesema mimi ni mpare ,gedere wa cdm mnayo shida ,mbonyi Meku?Hakuna mpare anaitwa Makupa mpuuzi wewe
Sio kama wale vibaka wa Bavicha wanaochoma nguo mangiUWT mnakwama mahali
Unaposema professor hana akili una maana gani?Tusi gani dada angu nimekutukana?
UWT mbona unapaniki?Wapi nimesema mimi ni mpare ,gedere wa cdm mnayo shida ,mbonyi Meku?
Wewe ni Professor dada angu?Unaposema professor hana akili una maana gani?