Prof. Kitila Mkumbo: Tangu 2014 tulishakubaliana kuwa na Katiba Mpya, kilichobaki ni utekelezaji

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
"Tulishakubaliana kama nchi kuwa tunataka Katiba Mpya tangu mwaka 2014 ndiyo maana tukaanzisha mchakato wa Katiba na kupata Katiba inayopendekezwa, tunachopaswa kuzungumza kwa sasa ni nili tunaendelea na mchakato na siyo kurudisha mambo nyuma" Mbunge wa Ubungo Prof. @kitilam.

 
Kweli ukiwa nje akili zinakaa sawa, au ndio wamepewa go ahead na mwenyekiti ili ionekane ni ajenda yao na sio presha ya wananchi?
 
Hiyo katiba sio kipaumbele cha chama chake kwa Sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…