mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,092
- 4,896
Game over hapoCCM wanalitambua hilo, kutoa katiba mpya ni sawa na kurusha tauro wa bondia wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Game over hapoCCM wanalitambua hilo, kutoa katiba mpya ni sawa na kurusha tauro wa bondia wako.
Baada ya kunyang'anywa uwaziri, hata Ndugai sahivi anataka katiba mpya kuliko kipindi chochoteAkili inaanza kukaasawa sasa
sahivi hana jipya anahitaji katiba mpyaProf Kitilla anataka tuipigie kura katiba ya Chenge " Katiba Pendekezwa"
#Tutaelewana tu.Nadhani hata Job Ndugai ukimuuliza atakupa majibu haya haya
MaCCM yakiongelea katiba mpya wanaaanisha ile walio itengeza wao pale Lumumba na sio hii ( ya wananchi ) rasimu ya warioba.Nieleweshe mkuu
Watu wanaenda na biti.Huyu profesa ni mpumbavu ,wakati wa jiwe alisema haoni haja ya kudai katiba mpya tuna mambo mengi muhimu ,leo kakosa cheo anaanza kubadilika ,shwain!
Nadhani watu wamesahau kidogo kuhusu Katiba. Wapinzani hawataki Katiba iliyopendekezwa na bungue la Katiba maana wanadai Ina mapungufu makubwa. Lakn CCM inaonekana hata hii ya bunge la Katiba hawamtaki. Sasa inawezekana CCM wakikubali watakuja na Katiba ya bunge la Katiba.Tueleweshe bwashee.
Kuna jambo linatakiwa kuwekwa sawa tena kwa msisitizo hapa. La sivyo wananchi tutapewa kile tusichohitaji!Nadhani watu wamesahau kidogo kuhusu Katiba. Wapinzani hawataki Katiba iliyopendekezwa na bungue la Katiba maana wanadai Ina mapungufu makubwa. Lakn CCM inaonekana hata hii ya bunge la Katiba hawamtaki. Sasa inawezekana CCM wakikubali watakuja na Katiba ya bunge la Katiba.
Wapi alipoyasema hayo ?Prof Kitilla anataka tuipigie kura katiba ya Chenge " Katiba Pendekezwa"
Wewe unamwe!ewa Sugu tu huna kichwa cha kumuelewa Prof!Wapi alipoyasema hayo ?
Wameanza kurudi kwenye akili zao za kawaida baada ya ugali na mboga kumwagika !"Tulishakubaliana kama nchi kuwa tunataka Katiba Mpya tangu mwaka 2014 ndiyo maana tukaanzisha mchakato wa Katiba na kupata Katiba inayopendekezwa, tunachopaswa kuzungumza kwa sasa ni nili tunaendelea na mchakato na siyo kurudisha mambo nyuma" Mbunge wa Ubungo Prof. @kitilam.
Katiba ni ya Warioba tu , huo uzushi unaowalisha watu achana naoWewe unamwe!ewa Sugu tu huna kichwa cha kumuelewa Prof!
Nadhani imefike mda badala ya kulumbana kwa vioja tulumbane kwa hojaKatiba ni ya Warioba tu , huo uzushi unaowalisha watu achana nao
Warioba hana katiba bali ana rasimu ya katiba.Katiba ni ya Warioba tu , huo uzushi unaowalisha watu achana nao