Prof. Kitila Mkumbo: Tangu 2014 tulishakubaliana kuwa na Katiba Mpya, kilichobaki ni utekelezaji

Prof. Kitila Mkumbo: Tangu 2014 tulishakubaliana kuwa na Katiba Mpya, kilichobaki ni utekelezaji

Hizi ni dalili mbaya sana za woga!
Comrade wewe ni bonge moja la muoga!
Watu wa ndani wakikutonya yaliyo ndani amini wanachosema hata kama huwaamini.
Hapa nimetoka kapa; utadhani sijui kusoma. Labda unifafanulie ndiyo nitaelewa. By the way, inaonyesha kama physically unanifahamu, au?
 
Mbunge wa Jimbo la Ubungo Prof. Kitila Mkumbo akiwa katika kipindi cha joto kali la asubuhi cha TV E, leo tarehe 14.03.2022, amesema Wanaodai Katiba Mpya wanaturudisha nyuma kwa sababu kama Nchi hilo Ombi lilishakubaliwa, ikaundwa tume ya Katiba, likaundwa bunge la Katiba.

Kilichobaki ni kuendelea pale tulipoishia.

"Tulishakubaliana kama nchi kuwa tunataka Katiba Mpya tangu mwaka 2014 ndiyo maana tukaanzisha mchakato wa Katiba na kupata Katiba inayopendekezwa, tunachopaswa kuzungumza kwa sasa ni nili tunaendelea na mchakato na siyo kurudisha mambo nyuma" Mbunge wa Ubungo Prof. Kitila Mkumbo
 
Wanaodai wako sahihi kama wananchi walishiriki kutoa maoni na tume ikayachukua nakutengeneza rasimu, yalipofikishwa bungeni wakayatoa kwa kiwango cha zaidi ya 70% maana yake maoni ya wananchi yalipuuzwa ndomana watu wanataka mchakato uanzie pale kwenye rasimu ya warioba.
 
Mwambieni aachane na kuchapa mabinti wakazi mkewe anafukuza kila baada yawiki mabint wakazi......hatajuzi hapa hospitali Fulani mkewe alimsimanga Sana bint wa kazi mbeleyawatu ...bint akiwa kamsindikiza mkewe na mgonjwa wao ni mama mzazi wa mke wakitila

anajifanya anamawazo potofu nanyumbani kunamshinda mama wakichaga huyo anabalaaa
 
"Tulishakubaliana kama nchi kuwa tunataka Katiba Mpya tangu mwaka 2014 ndiyo maana tukaanzisha mchakato wa Katiba na kupata Katiba inayopendekezwa, tunachopaswa kuzungumza kwa sasa ni nili tunaendelea na mchakato na siyo kurudisha mambo nyuma" Mbunge wa Ubungo Prof. @kitilam.


Once a ndom is used, we know where is taken
 
"Tulishakubaliana kama nchi kuwa tunataka Katiba Mpya tangu mwaka 2014 ndiyo maana tukaanzisha mchakato wa Katiba na kupata Katiba inayopendekezwa, tunachopaswa kuzungumza kwa sasa ni nili tunaendelea na mchakato na siyo kurudisha mambo nyuma" Mbunge wa Ubungo Prof. @kitilam.

🤣🤣🤣🤣Akitemea na huo ubunge ataitaka Katiba ya warioba tu
 
Umemuelewa lakini?
Kuna watu hawajui tofauti ya "rasimu ya Warioba" na "katiba inayopendekezwa" (ya CCM).

Hiki kipindi CCM wamepindisha mjadala wa bunge la katiba hadi upinzani wakaunda "UKAWA" wengi hawakuelewa nini kilifanyika na hata huyo Prof Kitila Mkumbo hawawezi kumuelewa.
 
Wameanza kurudi kwenye akili zao za kawaida baada ya ugali na mboga kumwagika !
Kiukweli hatuwaamini Tena Bali porojo zenu zifanyeni sebuleni kwenu na watoto wa watoto wenu mpyuuuuu
Bado amekupiga chenga sana. Huyu anaipigia debe katiba inayopendekezwa. Sijui kama unajua hiyo inayopendekezwa ilivyohama kutoka kwenye rasimu ya Warioba ambayo ndiyo maoni ya wananchi?
 
Hapa nimetoka kapa; utadhani sijui kusoma. Labda unifafanulie ndiyo nitaelewa. By the way, inaonyesha kama physically unanifahamu, au?
Nilichomaanisha ni kuwa hao watu wenye guts za kuongea kwenye media ni muhimu sana. Tunaweza kuwapuuza lakini tusidharau hoja zao.
Muhimu kwa sasa ni kujua kuwa mchakato wa Katiba Mpya upo njiani. Kinachogomba ni style ya kuibua mchakato wenyewe!
 
Mimi nadhani sote tuanaotaka Katiba Mpya tukubaliane kuanza na ile Katiba Pendekezwa ambayo inahitaji maboresho maeneo mengi then ikipelekwa kwa wananchi kupigiwa kura waikatae kwanza ifanyiwe maboresho kulingana na wakati wa sasa na wa baadae!
2014 hadi sasa ni miaka 8. Kuna mengi sana yamebadilika!
Wananchi wa Tanzania wanaweza kuikataa katiba inayopendekezwa? 90% hawajui lolote halafu wakatae? Ignorance ya watanzania ndiyo mtaji wa CCM kuendelea kuwaburuza wananchi. CCM hawataki kusikia kitu kinaitwa katiba mpya.
 
Wanaodai wako sahihi kama wananchi walishiriki kutoa maoni na tume ikayachukua nakutengeneza rasimu, yalipofikishwa bungeni wakayatoa kwa kiwango cha zaidi ya 70% maana yake maoni ya wananchi yalipuuzwa ndomana watu wanataka mchakato uanzie pale kwenye rasimu ya warioba.
Uko sahihi kabisa mkuu.
 
Wananchi wa Tanzania wanaweza kuikataa katiba inayopendekezwa? 90% hawajui lolote halafu wakatae? Ignorance ya watanzania ndiyo mtaji wa CCM kuendelea kuwaburuza wananchi. CCM hawataki kusikia kitu kinaitwa katiba mpya.
Ni jukumu letu kuwaelisha waijue... kwa maneno rahisi rahisi na mepesi.
Ndiyo maana ulienda shule... Ili uiokoe jamii kwa kuwaelezea ukweli!!
 
Nilichomaanisha ni kuwa hao watu wenye guts za kuongea kwenye media ni muhimu sana. Tunaweza kuwapuuza lakini tusidharau hoja zao.
Muhimu kwa sasa ni kujua kuwa mchakato wa Katiba Mpya upo njiani. Kinachogomba ni style ya kuibua mchakato wenyewe!
Waliopo wanaoweza kuongelea haya mambo ni wengi mno wanatosha na hivyo hakuna haja ya mawaziri wastaafu nao kujiingiza tena kwenye mambo madogo madogo kama haya. Zaidi ni kuwa aliyeongea ni mbunge na hivyo hana haja ya kuwa anaongelea kwenye majukwaa uchwara, aende bungeni akawasilishe hoja yake huko. Hii yote inasababishwa na mtu kutokuwa focused, anakuwa kila mahali yupo utadhani ni upepo
 
"Tulishakubaliana kama nchi kuwa tunataka Katiba Mpya tangu mwaka 2014 ndiyo maana tukaanzisha mchakato wa Katiba na kupata Katiba inayopendekezwa, tunachopaswa kuzungumza kwa sasa ni nili tunaendelea na mchakato na siyo kurudisha mambo nyuma" Mbunge wa Ubungo Prof. @kitilam.

Mbona ulikuwa karibu sana na Mwendazake hukumshauri haya yote, hii ni sawa na unafiki uliopitiliza mipaka ya unafiki
 
Waliopo wanaoweza kuongelea haya mambo ni wengi mno wanatosha na hivyo hakuna haja ya mawaziri wastaafu nao kujiingiza tena kwenye mambo madogo madogo kama haya. Zaidi ni kuwa aliyeongea ni mbunge na hivyo hana haja ya kuwa anaongelea kwenye majukwaa uchwara, aende bungeni akawasilishe hoja yake huko. Hii yote inasababishwa na mtu kutokuwa focused, anakuwa kila mahali yupo utadhani ni upepo
Kuna sheria au kanuni inawazuia au ni utashi binafsi??
 
Kuna sheria au kanuni inawazuia au ni utashi binafsi??
Sheria ya common sense ambayo kila mwanadamu anaitumia bila kujali kuna sheria au hakuna sheria. .....just a rule which can be applied by an ordinary man mind in the street!
 
Back
Top Bottom