Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
Hapa nimetoka kapa; utadhani sijui kusoma. Labda unifafanulie ndiyo nitaelewa. By the way, inaonyesha kama physically unanifahamu, au?Hizi ni dalili mbaya sana za woga!
Comrade wewe ni bonge moja la muoga!
Watu wa ndani wakikutonya yaliyo ndani amini wanachosema hata kama huwaamini.