Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Nashukuru mkuu.Tokea bagamoyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru mkuu.Tokea bagamoyo
Hakuna mwekezaji wa kuweka billion 40$ kujenga daraja in third world country, mafuta na migodi mikubwa ndio unapata hio pesa sio majengoYamejengwa China,Dola bln 40 ni pesa nyingi Kwa Tanzania ila sio Kwa wawekezaji.
Tanzania hatuaminiki kwenye uwekezaji wa aina hiyo. Na sababu za kutokuaminika ziko wazi kutokana na utawala wa Nyerere, na Magufuli alivyoingia madarakani akaondoa kabisa hata ile imani ndogo wanaliyoweza kuwa nayo wawekezaji wa miradi mikubwa ya hivyo.Kwa nini asiwekeze kama atapata faida? Swala sio urefu Bali faida ya kibiashara
Nakubaliana na wewe, hata hivyo kujua gharama halisi za Mradi vyema ikafanyika feasibility study kuweza kujua kama huo Mradi utatekelezeka ama uishie kwenye MakaratasiBro mahitaji yanapimwa hivyo kweli? Ni sawa na kusema useme Kuna mahitaji ya kujenga Daraja kutoka musoma kwenda bukoba sababu watu wa musoma hutumia gharama kubwa kuvuka
Ndani ya miaka 20 au 30 mwekezaji atakua karudisha pesa yake? Mradi wa zaidi ya trillion 100 unarudisha pesa kwa miaka 20 hadi 30? Kwa pesa za wanaovuka? Sidhani unamaanisha
Pia huyo mwekezaji wa kuweka pesa kujenga Daraja kwa gharama hizo yupo wapi dunia hii?? Naomba kumjua
Mradi tu wa bandari kwa trillion 20 jasho lilimtoka miaka zaidi ya 10 ni mvutano. Ije kuwa daraja
Kupanga ni kuchagua🤣🤣🤣🤣🤣📌Hivi Kwa hali ya Uchumi wetu tutaweza kweli hizo gharama za Ujenzi?
Labda kama tutajenga Kwa njia ya PPP then tukawa tunatumia Kwa kulipia kama ilivyo daraja la Mwalimu Nyerere - Kigamboni
Ni wazo zuri kulitekeleza kama Kuna hiyo nafasi
Ni kweli Mkuu, kupanga ni kuchaguaKupanga ni kuchagua🤣🤣🤣🤣🤣📌
Gharama zinazokaribia wala sio shida kujua sababu yapo ya hivyo yamejengwa huko kwa wenzetuNakubaliana na wewe, hata hivyo kujua gharama halisi za Mradi vyema ikafanyika feasibility study kuweza kujua kama huo Mradi utatekelezeka ama uishie kwenye Makaratasi
HakikaEpuka matapeli.
Nakubaliana na wewe Mkuu, nafikiri Kuna haja tathmini ya kina ikafanyika ili hata kama tutajenga Kwa PPP basi tujue pros and cons zake kama TaifaGharama zinazokaribia wala sio shida kujua sababu yapo ya hivyo yamejengwa huko kwa wenzetu
Issue hakuna wa kuweka hiyo pesa kwenye Daraja ndio maana nilikutolea hata mfano wa bandari ya bagamoyo ambao mradi ulikua wa trillion 20 lakini wamevutana miaka 10 na hakuna kilichoendelea
Unataka kutuongopea sasa, mwekezaji hata serikali iwe unstable kiasi gani akiona fursa anakimbilia fasta. Ndio maana pamoja na machafuko yote sehemu zenye madini congo n.k lakini bado wawekezaji wanaendaTanzania hatuaminiki kwenye uwekezaji wa aina hiyo. Na sababu za kutokuaminika ziko wazi kutokana na utawala wa Nyerere, na Magufuli alivyoingia madarakani akaondoa kabisa hata ile imani ndogo wanaliyoweza kuwa nayo wawekezaji wa miradi mikubwa ya hivyo.
Mkuu kujengwa daraja la hivyo kwa nchi ya ulimwengu wa tatu ni ndoto. Sababu kubwa ni gharama na pia jiographia ya hayo maeneo mawili kuweka Daraja ni ngumu mno sababu ya mkondo wa bahari uliopoNakubaliana na wewe Mkuu, nafikiri Kuna haja tathmini ya kina ikafanyika ili hata kama tutajenga Kwa PPP basi tujue pros and cons zake kama Taifa
Hiyo fedha iingizwe kwenye Maji safi na salama kwa wote kwanza hapo ni bora aletwe mwekezaji wa Ferry kubwa zenye kubeba hadi Malori.Kwanini tunnel la chini lisijengwe Bagamoyo mpaka ZnZ? Au daraja maana ni karibu na kufanya bagamoyo liwe jiji kubwa kuliko kila msongamano mnapelea Dar
Wasomi ndio hawa wana entertain habari za kujenga daraja kwenda Zanzibar?Kwa nini?
Kuna shida gani?Wasomi ndio hawa wana entertain habari za kujenga daraja kwenda Zanzibar?