johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Waziri wa Uchumi Prof Kitila Mkumbo amesema kuna mashirika 304 nchi nzima lakini yaliyotoa gawio ni 145 tu na 159 hayajatoa.
Kitila amesema jumla ya Gawio ni tsh 637 billion ambapo tsh 8.8 billion ni Gawio kutoka kwenye Faida( Dividend) na tsh 358 billion ni Michango na ifikapo June 30 Gawio litaongezeka kutoka tsh 637 billion hadi 850 billion
Source: Clouds media
Kwako CPA Okwi Boban Sunzu ukiwa Ufipa st😄🔥
Kitila amesema jumla ya Gawio ni tsh 637 billion ambapo tsh 8.8 billion ni Gawio kutoka kwenye Faida( Dividend) na tsh 358 billion ni Michango na ifikapo June 30 Gawio litaongezeka kutoka tsh 637 billion hadi 850 billion
Source: Clouds media
Kwako CPA Okwi Boban Sunzu ukiwa Ufipa st😄🔥