Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
- Thread starter
- #41
Sio kwamba anajitoa fahamu?Mjinga huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwamba anajitoa fahamu?Mjinga huyu
Makamanda WAMETUKANWAImpliedly
View attachment 2696670
Kwasasa wamebaki na sidiria na vyupi, verysoon watabaki watupuHili nalo neno Asante sana kwa kuropokwa hayo maneno.
Jeshi la kupiga raia wake...na kubaka ugeniniKwani Tanzania tuna jeshi?
Hapo sawa. Maana kama tungekuwa na jeshi lingechukua nchi enzi za jiwe alipoiba uchaguzi na kubaka haki zote za raia.Jeshi la kupiga raia wake...na kubaka ugenini
Achaneni na haya maneno ya ovyo kabisa.🙏🙏🙏Ndicho kitakachotokea. Huu mkataba utasababisha mapinduzi ya kwanza yenye mafanikio dhidi ya wahaini wote.
Na hatima ya wahaini wauza nchi ni utumwani.
Hatari sanaAsitukumbushe Vita ya Kinondoni Mkwajuni Tamim vs Nyaucho [emoji1]!
Umevaa chupi kweli?Uandhani kupindua nchi ni rahisi kama mnavyopinduliwa kimaumbile na wafadhili wenu?
Ndio HivyoImpliedly
View attachment 2696670
Wanawaangalia tu, mda wao bado haujawadia kwa sasa. Jikaangeni tu ndio muone umakini wao.Impliedly
View attachment 2696670