Nyankurungu2020 JF-Expert Member Joined Oct 2, 2020 Posts 4,170 Reaction score 6,757 Jun 11, 2023 #1 Lipumba acha kufumba macho. Hili dili Rais anajua kila kitu. Umesahau alishamkaribisha mmiliki wa DP world Ikulu. Your browser is not able to display this video.
Lipumba acha kufumba macho. Hili dili Rais anajua kila kitu. Umesahau alishamkaribisha mmiliki wa DP world Ikulu. Your browser is not able to display this video.
Jasmoni Tegga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2020 Posts 12,624 Reaction score 24,751 Jun 11, 2023 #2 Prof Lipumba anaingiaje hapo? Hebu tulia, paki gari pembeni, kisha andika vitu vinavyoeleweka, mkuu. Unawahi wapi?
Prof Lipumba anaingiaje hapo? Hebu tulia, paki gari pembeni, kisha andika vitu vinavyoeleweka, mkuu. Unawahi wapi?
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Jun 11, 2023 #3 Sasa usipotoa maelezo ya kutosha, unategemea tutakuelewa huku tayari bandari ni mali ya Mwarabu!
All truth23 JF-Expert Member Joined Jul 19, 2022 Posts 1,215 Reaction score 1,401 Jun 11, 2023 #4 Tate Mkuu said: Sasa usipotoa maelezo ya kutosha, unategemea tutakuelewa huku tayari bandari ni mali ya Mwarabu! Click to expand... Dah ukisema hivo unaniumiza sana Bandari tayari Mali ya Mwarabu!!!! Dah Ila naimani hawatafanikiwa
Tate Mkuu said: Sasa usipotoa maelezo ya kutosha, unategemea tutakuelewa huku tayari bandari ni mali ya Mwarabu! Click to expand... Dah ukisema hivo unaniumiza sana Bandari tayari Mali ya Mwarabu!!!! Dah Ila naimani hawatafanikiwa
B Bhisumbinyama JF-Expert Member Joined Dec 26, 2019 Posts 797 Reaction score 581 Jun 11, 2023 #5 Jasmoni Tegga said: Prof Lipumba anaingiaje hapo? Hebu tulia, paki gari pembeni, kisha andika vitu vinavyoeleweka, mkuu. Unawahi wapi? Click to expand... Prof yupo vizuri tu mbona. Yeye anahoji kama wengine.
Jasmoni Tegga said: Prof Lipumba anaingiaje hapo? Hebu tulia, paki gari pembeni, kisha andika vitu vinavyoeleweka, mkuu. Unawahi wapi? Click to expand... Prof yupo vizuri tu mbona. Yeye anahoji kama wengine.
The-unknown JF-Expert Member Joined Feb 26, 2014 Posts 1,228 Reaction score 1,447 Jun 12, 2023 #6 Wanavyodai tuko katika hatua ya kuandaa makunaliano,lakini 5.1 inatosha kusema kuwa tayari tuna mkataba na Dp world na kama tutafanya namna yoyote ya kusitisha makunaliano hayo basi mahakamani tutakwenda na tutashindwa
Wanavyodai tuko katika hatua ya kuandaa makunaliano,lakini 5.1 inatosha kusema kuwa tayari tuna mkataba na Dp world na kama tutafanya namna yoyote ya kusitisha makunaliano hayo basi mahakamani tutakwenda na tutashindwa
jkipaji JF-Expert Member Joined Sep 22, 2019 Posts 6,963 Reaction score 9,401 Jun 12, 2023 #7 Tate Mkuu said: Sasa usipotoa maelezo ya kutosha, unategemea tutakuelewa huku tayari bandari ni mali ya Mwarabu! Click to expand... Ukitaka kula shariti na wwe uliwe kidogo, by JK wa Msoga! Tanzania kuliwa na DP world!!
Tate Mkuu said: Sasa usipotoa maelezo ya kutosha, unategemea tutakuelewa huku tayari bandari ni mali ya Mwarabu! Click to expand... Ukitaka kula shariti na wwe uliwe kidogo, by JK wa Msoga! Tanzania kuliwa na DP world!!