Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Profesor wa hovyo kabisaMukandara na kamati yake wakibakia wenyewe itapendeza zaidi
Prof yeye inamuuma hayupo kwenye hiyo ajira ya kitapeli ya miaka 9 ambayo Zitto yupoHahahaaaa! Prof Lipumba alimgeuka hata Lowassa kule UKAWA 2015!
Watabakia na mzito kabwelaMukandara na kamati yake wakibakia wenyewe itapendeza zaidi
Huyu na yule wa kinyesi wanataka laana zà kujitakia tu na tapeli Zitto Haponi kwa hii dhambiProfesor wa hovyo kabisa
Alingeuka hadi Maalim SeifHahahaaaa....... Prof Lipumba alimgeuka hata Lowassa kule UKAWA 2015!
Lipumba hajawahi kuwa Professor hata siku moja cheo cha juu alichowahi fikia ni Associate Proffesa yaani msaidizi wa Profesa yeye na Huyo anaitwa Proffesa Assad hawajawahi fikia ngapi ya uprofessor wote waliishia kuwa wasaidizi wa maprofesa ila mitaani watu wanawaita ma Proffesa sijui kwa nini wakati vyeo vya juu waliyowahi fikia ni Associate Professor.Hivi CV yake inaonyesha uprofesa wake huwa anafundisha chuo gani atu
Opportunist hawezi kuona aibu, aibu wataiona wale ambao hawajaizoea.Zitto ni dalali, ila this time kama hatoona aibu basi mshipa wa aibu ulishakatika.