Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliwahi kuambiwa huwa anafundisha vyuo vingi uchumi huko ulaya online.Lipumba hajawahi kuwa Professor hata siku moja cheo cha juu alichowahi fikia ni Associate Proffesa yaani msaidizi wa Profesa yeye na Huyo anaitwa Proffesa Assad hawajawahi fikia ngapi ya uprofessor wote waliishia kuwa wasaidizi wa maprofesa ila mitaani watu wanawaita ma Proffesa sijui kwa nini wakati vyeo vya juu waliyowahi fikia ni Associate Professor
Ni sawa as Associate Professor sio ProfessorNiliwahi kuambiwa huwa anafundisha vyuo vingi uchumi huko ulaya online.
Kumbe ni associate
Wote walewaleHuyu na yule wa kinyesi wanataka laana zà kujitakia tu na tapeli Zitto Haponi kwa hii dhambi
Huyu na yule wa kinyesi wanataka laana zà kujitakia tu na tapeli Zitto Haponi kwa hii dhambi
Lipumba hajawahi kuwa Professor hata siku moja cheo cha juu alichowahi fikia ni Associate Proffesa yaani msaidizi wa Profesa yeye na Huyo anaitwa Proffesa Assad hawajawahi fikia ngapi ya uprofessor wote waliishia kuwa wasaidizi wa maprofesa ila mitaani watu wanawaita ma Proffesa sijui kwa nini wakati vyeo vya juu waliyowahi fikia ni Associate Professor
Acha ukilaza !Unajiita msumi mwenye Shahada ya uzamili tena umesomea ulaya Lumumba wakakuamini kumbe ni kilaza .Lipumba hajawahi kuwa Professor hata siku moja cheo cha juu alichowahi fikia ni Associate Proffesa yaani msaidizi wa Profesa yeye na Huyo anaitwa Proffesa Assad hawajawahi fikia ngapi ya uprofessor wote waliishia kuwa wasaidizi wa maprofesa ila mitaani watu wanawaita ma Proffesa sijui kwa nini wakati vyeo vya juu waliyowahi fikia ni Associate Professor
Haruna eeh..x2, nimekuja kukueleza, sisi wandugu mbona kelele by king kiiHahahaaaa....... Prof Lipumba alimgeuka hata Lowassa kule UKAWA 2015!
Aone aibu vipi wakati mama amewahakikishia ulaji wa miaka 9?Zitto ni dalali, ila this time kama hatoona aibu basi mshipa wa aibu ulishakatika.
Aone aibu vipi wakati mama amewahakikishia ulaji wa miaka 9?Zitto ni dalali, ila this time kama hatoona aibu basi mshipa wa aibu ulishakatika.
Bora hata ya Zitto tunajuwa anatafuta pesa ya kula, lakini huyu Profesa uchwara ndio hovyo kabisa ni mtu wa kupuuzwa tu na jamii.Zitto kawauza wenzie kama mafuta ya kula
Wamehakikishiwa ajira miaka 9Kwa hiyo le profeseri mukandala kajipa kazi ya uchawa kwa mama kwa kutunga kwamba wadanganyika wamesema katiba isubiri hadi 2025 akilenga kula shavu, wasomi wa danganyika wanaendeshwa na wanasiasa sababu ya njaa na ni fedheha kubwa.....
Dalali wa kisiasaBora hata ya Zitto tunajuwa anatafuta pesa ya kula, lakini huyu Profesa uchwara ndio hovyo kabisa ni mtu wa kupuuzwa tu na jamii.
Mkandala ni green blood. Hajawahi kuishi kwa maslahi ya Taifa. Ni mmoja kati ya maprofesa hovyo kuwahi kutokea. Ana ungana na profesa wa jalalani na profesa wa kinyesi... Washenzi wana tumia kodi zetu vibaya. Vibanda vyetu vina fungwa na TRA wao wana kula tuu nyumbu hawa.Huyu ni miongoni mwa Wajumbe walioteuliwa na Rais chini ya Rwekaza Mukandala , Anaitwa Haruna Lipumba ambaye ni Mwenyekiti wa CUF .
Jionee mwenyewe
"Mimi nilikuwa mjumbe kwenye mkutano uliofanyika Dodoma na hakuna mjumbe hata mmoja aliyesema mchakato wa katiba usubiri hadi mwaka 2025. Baraza la Uongozi linapinga pendekezo la kikosi kazi juu ya suala hili la katiba mpya kusubiri 2025"
Yah right. Kwenye shamba la Bibi.....!!Usimwamini sn Lipumba bado hajaitwa ikulu kinachomuuna Zitto alemba kitengo kwa miaka 9 ijayo ya utapeli tapeli
Hao wote ni madalali tupuYah right. Kwenye shamba la Bibi.....!!
Lipumba hajawahi kuwa Professor hata siku moja cheo cha juu alichowahi fikia ni Associate Proffesa yaani msaidizi wa Profesa yeye na Huyo anaitwa Proffesa Assad hawajawahi fikia ngapi ya uprofessor wote waliishia kuwa wasaidizi wa maprofesa ila mitaani watu wanawaita ma Proffesa sijui kwa nini wakati vyeo vya juu waliyowahi fikia ni Associate Professor
Yaa kwa simple language ni kama kusema assistant Manager umwite manager au fundi msaidizi umwite fundiAssociate professor ni msaidizi wa profesa?! [emoji16]