Prof. Lipumba aikataa Kamati ya Prof. Mukandala. Asema hakuna mjumbe aliyesema mchakato wa Katiba usubiri hadi mwaka 2025

Kwahiyo le profeseri mukandala kajipa kazi ya uchawa kwa mama kwa kutunga kwamba wadanganyika wamesema katiba isubiri hadi 2025 akilenga kula shavu, wasomi wa danganyika wanaendeshwa na wanasiasa sababu ya njaa na ni fedheha kubwa.
 
Niliwahi kuambiwa huwa anafundisha vyuo vingi uchumi huko ulaya online.


Kumbe ni associate
 
"wekuwa madalali wa mama anaupiga mwingi".

Puaaaaa puawaaaa Zitto kabwela
 

Acha ukilaza !Unajiita msumi mwenye Shahada ya uzamili tena umesomea ulaya Lumumba wakakuamini kumbe ni kilaza .

Iko hizi Associate Professor is a professor hiyo associate ni promotion ya kiaaluma tu.
 
Kwa hiyo le profeseri mukandala kajipa kazi ya uchawa kwa mama kwa kutunga kwamba wadanganyika wamesema katiba isubiri hadi 2025 akilenga kula shavu, wasomi wa danganyika wanaendeshwa na wanasiasa sababu ya njaa na ni fedheha kubwa.....
Wamehakikishiwa ajira miaka 9
 
Mkandala ni green blood. Hajawahi kuishi kwa maslahi ya Taifa. Ni mmoja kati ya maprofesa hovyo kuwahi kutokea. Ana ungana na profesa wa jalalani na profesa wa kinyesi... Washenzi wana tumia kodi zetu vibaya. Vibanda vyetu vina fungwa na TRA wao wana kula tuu nyumbu hawa.
 
Associate professor ni msaidizi wa profesa?! [emoji16]
 
... mwezi wa maprofesa huu! Kule Manyele na vinyesi vya mifugo Mto Mara; pale Mukandala na Katiba Mpya; huko Lipumba kuhusu upotoshaji wa Mukandala! Prof. Honest Ngowi yule nguli wa uchumi Mungu kamtwaa asubuhi ya leo (RIP).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…