dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
... jibu bora kabisa la zama zetu hizi!Lissu hajawahi kukusanya watu, watu ndo wanakusanyika kwa ajili yake. Kuna anayekusanya watu kwa malori unamjua vizuri usijitoe ufahamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... jibu bora kabisa la zama zetu hizi!Lissu hajawahi kukusanya watu, watu ndo wanakusanyika kwa ajili yake. Kuna anayekusanya watu kwa malori unamjua vizuri usijitoe ufahamu.
Mdomo wake upo wazi kama fisi! Zee lina uroho sana!!Hili lizee kweli halina aibu limeiua cuf
Hahahaaa, kwisha habari yake propumba. Afadhali yule bwana ubwabwa.View attachment 1580737View attachment 1580738NITASIMAMIA ELIMU BORA NA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO "PROF.LIPUMBA"
BUKOBA VIJIJINI
Serikali ya umoja wa kitaifa chini ya CUF itahakikisha kuwa watoto wote wa Tanzania wanakuwa na haki ya kupata elimu bora ya msingi, elimu ya sekondari na elimu ya juu. Kila raia atahimizwa kujiendeleza kielimu hasa kwa kutumia vizuri teknolojia ya habari na mawasiliano.
Serikali ya umoja wa kitaifa itakayoundwa na CUF itatoa kipaumbele maalum katika kuwaendeleza kielimu wasichana na kujenga misingi imara ya kuendeleza elimu za hisabati, sayansi na teknolojia.
Serikali ya umoja wa kitaifa chini ya CUF itahakikisha kwamba ifikapo 2025 asilimia 50 ya Shule za Umma nchini zinakuwa na Uwezo wa Kufundisha wanafunzi wake kwa njia ya TEHAMA na asilimia 100 ifikapo 2028.
Hili litawezesha wanafunzi wengi kuendelea na masomo hata pale shule zitakapofungwa kwa dharura kama tulivyojifunza kupitia janga la CORONA.
Kila mkutano analipwa na ccmHuyo Profesa Uchwara alishapoteza msimamo wa kisiasa tangu 2015, kwa sasa anapoteza muda wake tu.