Uchaguzi 2020 Prof. Lipumba akiwa Bukoba Vijijini: Nitasimamia elimu bora na matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano

Lissu hajawahi kukusanya watu, watu ndo wanakusanyika kwa ajili yake. Kuna anayekusanya watu kwa malori unamjua vizuri usijitoe ufahamu.
... jibu bora kabisa la zama zetu hizi!
 
Hahahaaa, kwisha habari yake propumba. Afadhali yule bwana ubwabwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…