Valuhwanoswela
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 1,229
- 1,125
Ingekuwa Mgombea wa CCM hakuwekewa pingamizi na Lissu, Lipumba angetupiliwa mbali lakini pingamizi limetupwa kwa sababu NEC ingepata wakati mgumu kutupa pingamizi la Mgombea wa CCM pekee mwenye tuhuma nyingi likubalike la kwake mwenye tuhuma moja tu. Ashukuru he is still in the Band Wagon!Maelezo yake tu ya mwisho hapa yameshatusaidia kuwa kumbe ni kweli yupo katika 'Payroll' ya CCM na Serikali yake nzima iliyo chini ya Rais JPM.
Umesema kweli kabisa anaongoza kwa kila kitu kati ya wagombea wote wa Urais, ana akili sana, msomi kuliko PhD zile, anajua lugha yetu na ana mvuto hata wa sura wa kufanya watu watake kumwona na kumsikiliza.Hayo ndio matamanio yako achuje. Lisu anategemea kura zetu, wala hahitaji kuzungukwa na viongozi wengine wa Cdm kama unavyotaka kupotosha. Kwa taarifa huyo Lisu hata angekuwa mgombea binafsi, bado wengi tuna imani naye. Kwa jinsi tunavyomkubali hata asipofanya kampeni bado tunamkubali sana. Na kwa taarifa yako hata angekuwa nje ya nchi na asifanye kampeni yoyote, ili mradi awe kwenye karatasi la kura bado angepata kura zetu.
Ameongea point na imewachomaLipumba wakati wake ulishapita ni mhuni tu na mpuuzi kwa kizazi cha leo.
Ela aliyopewa na kwenda Rwanda mwaka 2015 bado hatujasahau.
LIPUMBA ni mpinzani?Hesabu za lissu juu ya pingamizi kabugi Sana maana kaugawa upinzani tz
Keshaolewa na CCMLipumba aoe kwanza kabla ya kuja kutaka kupambana na Lissu
Mtu hana hata Mke,anatutia wasi wasi
Lipumba mwenyewe ni taahira na mpuuzi mkubwa.Huyo Mtanzania atakae msikiliza Lipumba atakuwa ni taahira.
Tangu ufahamu kuwa Mbowe kapita na mamayo, dadako wawili na wewe naona habanduki kichwani mwako. Pole sana kwa familia yako. Angalia hata hao binti zako nao watafuata nyayo za Bibi,aunties na mama.Kwa nini asimtumie Mbowe?
Mkuu kuna watu hupaswi kujibizana nao kama kama huyo ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanzaHayo ndio matamanio yako achuje. Lisu anategemea kura zetu, wala hahitaji kuzungukwa na viongozi wengine wa Cdm kama unavyotaka kupotosha. Kwa taarifa huyo Lisu hata angekuwa mgombea binafsi, bado wengi tuna imani naye.
Kwa jinsi tunavyomkubali hata asipofanya kampeni bado tunamkubali sana. Na kwa taarifa yako hata angekuwa nje ya nchi na asifanye kampeni yoyote, ili mradi awe kwenye karatasi la kura bado angepata kura zetu.
Ishu siyo tume kukupa maelekezo, issue nije maelekezo hayo ndivyo sheriainavyotaka?āNaweza kusema Tundu Lissu amekurupuka tu kwani wakati tunapewa semina yeye hakuepo hata hao CHADEMA hawakumshauri ndio maana ameanza kuongea ovyo au baada ya kuumia ndio anatafuta huruma kwa wananchiāamesema
Hata asiyeamini kwamba lolote linaweza kutokea anaweza kuwa zezetaNafikikiri Tahira zaidi atakaeamini Tundu Lissu anaweza shinda uchaguzi
[emoji28][emoji28]Lisu amefanya makosa sana, kitendo tu cha kumtaja Lipumba kimefanya watu wajue kuwa hata Lipumba anagombea urais.
Mi nilikuwa sijui nani anagombea urais zaidi ya Mheshimiwa Lissu, Jiwe, Dingi ubwabwa Rungwe, Hon Membe. Ndo nnajua hapa kumbe na huyu mzee mwenye kichwa kama kobiro anagombeašLisu amefanya makosa sana, kitendo tu cha kumtaja Lipumba kimefanya watu wajue kuwa hata Lipumba anagombea urais.
Sawa mzee kwa ushauri wako,hata hivyo Watanzania tulishafanya maamuzi mapema tu ya kutompa kura zetu huyo Tundu Lissu maana ni mnafiki sana na ni shoga, itakuwa maajabu Tanzania leo hii kuongozwa na Rais shogaMgombea Urais wa CUF, Prof Lipumba amemshukia vikali Tundu Lissu kwa kumuita mnafiki asiyejua chochote kuhusu Sera, Amani, Maendeleo na Demokrasia ya Nchi yetu.
Prof. Lipumba amehoji sababu za Lissu kumuwekea pingamizi kwenye tume ya uchaguzi eti kisa tu amefuata maelekezo ya tume ya uchaguzi!! Lipumba amehoji asipofuata maelekezo ya tume ya uchaguzi afuate maelekezo ya nani?? Pia amehoji wagombea wote wa urais mwaka huu wamefuata maelekezo ya tume ya uchaguzi akiwemo Membe, iweje awawekee pingamizi wagombea wawili tu?
Hali hiyo imemsikitisha sana Lipumba na kuwaasa watanzania kutokumchagua Lissu kwani ameonyesha udikteta wa kuminya demokrasia mapema sana.
View attachment 1550344
Lipumba ni sawa na Msoga pengine fisi ndio tu wanaweza usogeleaLissu ni kama moto, hata usipouona utasikia harufu yake. Huyo Lisu hata asipotangazwa na chombo chochote cha habari humu nchini, bado habari zake watu watazitafuta.
Mpaka sasa Tundu Lisu hapewi covarage na vyombo rasmi vya habari, na hata akipewa ni zile negative, lakini ndio mwenye mvuto automatically kwa watu.
Huo ndio ukweli usiopingika. Huyo Lipumba acha tu kupewa covarage na vyombo vya habari, hata awe mtangazaji kwenye media zote au mwenyekiti wa tume ya uchaguzi, hana mvuto tena.
Na atakayemsikiliza Lisu na kumwamini atakuwa chiziHuyo Mtanzania atakae msikiliza Lipumba atakuwa ni taahira.
Wewe hujui sababu? Kweli ahangaike kumuwekea kipingamizi Mzee wa wali?Mbona Lissu alisema wazi kuna wengine kaamua kutowawekea mapingamizi?