Prof. Lipumba apata ajali, gari yake yapinduka na kuharibika

Prof. Lipumba apata ajali, gari yake yapinduka na kuharibika

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
BREAKING: PROF LIPUMBA APATA AJALI "Gari yake imepinduka na imeharibika vibaya..."

Taarifa zaidi zitakujia hivi punde

=======

Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amepata ajali eneo la Nangurukuru mkoani Lindi saa moja usiku jana Jumatano baada ya gari alilokuwa anasafiria kupinduka. Ajali hiyo haikuhusisha magari mengine.

Profesa Lipumba alikuwa anatokea Njinjo kuelekea Kivinje kwenye shughuli za chama laini alipofika Nangurukuru gari ilipinduka lakini waliokuwemo ndani ya gari ikiwemo profesa Lipumba walitoka salama.

Naibu Mkurugenzi wa haki CUF, Salvatory Madaha alitoka na majeraha madogo.

Screenshot_20230216-095051_Facebook.jpg
 
BREAKING: PROF LIPUMBA APATA AJALI "Gari yake imepinduka na imeharibika vibaya..."

Taarifa zaidi zitakujia hivi punde

=======
Mwenyekiti wa CuF, profesa Ibrahim Lipumba amepata ajali eneo la Nangurukuru mkoani Lindi saa moja usiku jana Jumatano baada ya gari alilokuwa anasafiria kupinduka. Ajali hiyo haikuhusisha magari mengine.

Profesa Lipumba alikuwa anatokea Njinjo kuelekea Kivinje kwenye shughuli za chama laini alipofika Nangurukuru gari ilipinduka lakini waliokuwemo ndani ya gari ikiwemo profesa Lipumba walitoka salama.

Naibu mkurugenzi wa haki CUF, Salvatory Madaha alitoka na majeraha madogo

View attachment 2519013
"....kupinduka kwa gari pekee, hakukupi sifa ya Kuwa Rais!...." Prof. Lipumba dakika 45 ITV
 
Mwanasiasa pekee TZ anaye fanya siasa za kisayansi.
Pole kwake kwa ajali.
 
hivi kwa sasa Prof. anafundisha chuo chochote kile?
 
BREAKING: PROF LIPUMBA APATA AJALI "Gari yake imepinduka na imeharibika vibaya..."

Taarifa zaidi zitakujia hivi punde

=======
Mwenyekiti wa CuF, profesa Ibrahim Lipumba amepata ajali eneo la Nangurukuru mkoani Lindi saa moja usiku jana Jumatano baada ya gari alilokuwa anasafiria kupinduka. Ajali hiyo haikuhusisha magari mengine.

Profesa Lipumba alikuwa anatokea Njinjo kuelekea Kivinje kwenye shughuli za chama laini alipofika Nangurukuru gari ilipinduka lakini waliokuwemo ndani ya gari ikiwemo profesa Lipumba walitoka salama.

Naibu mkurugenzi wa haki CUF, Salvatory Madaha alitoka na majeraha madogo

View attachment 2519013
Kupata ajali ya kupinduka na gari hiyo haikupi sifa ya kuwa rais.
 
Back
Top Bottom