Kapitwa na wakati huku umekaa pembeni, ingia ulingoni kama akina Zitto ili ulete mambo yako mapya mkuu.Kapitwa na wakati
Nilifikiri ni mimi pekee ninayekumbuka, kumbe umekumbuka na ku coment"....kupinduka kwa gari pekee, hakukupi sifa ya Kuwa Rais!...." Prof. Lipumba dakika 45 ITV
Gari limeegama tu sijui lingebiringika wangeandikajeGari imepinduka halafu unasema imeharibika
Sasa kuna ajali gari inapinduka inarudi upya.?
Kwani Lipumba Yuko upinzani?Apate nafuu Prof upinzani utayumba bila huyu mwamba
[emoji23][emoji23]Kupata ajali ya kupinduka na gari siyo haikupi sifa ya kuwa rais.
Leo nitakupa like uongeze idadi.Asimkejeli tena Tundu Lisu
Like ndio nini bwashee?Leo nitakupa like uongeze idadi.