BakiliMuluzi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2022
- 1,578
- 2,353
Kwani hataki kwenda tena Buguruni kwa mkesha🤔Asimkejeli tena Tundu Lisu
Kupata ajali ya kupinduka na gari hiyo haikupi sifa ya kuwa rais.
Ndio hiyo hiyo unayoibonyeza ikatokeleza rangi ya blue.Like ndio nini bwashee?
Mwamba wa nini?Apate nafuu Prof upinzani utayumba bila huyu mwamba
ATAKAYE MKEJELI TUNDU LISSU Lazima YAMKUTE Jiwe yupo wapi? na huyu sasaMwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba amepata ajali hiyo eneo la Nangurukuru baada ya gari yake kupinduka usiku wa kuamkia leo Februari 16, 2023 wakati akitokea Mkoani Lindi....
Pore au pole?Pore sana lafiki yangu Olofesa Ripumba, nitapita Buguluni nikupe pore
Wote hatuwezi kuwa chawaKapitwa na wakati huku umekaa pembeni, ingia ulingoni kama akina Zitto ili ulete mambo yako mapya mkuu.
Mjinga na mpumbavu huyo anafikiria tu tumbo lakeMwanasiasa pekee TZ anaye fanya siasa za kisayansi.
Pole kwake kwa ajali.
Kwani anafamilia huyu poropesa hasiye elimika!?Gari imepinduka halafu unasema imeharibika. Sasa kuna ajali gari inapinduka inarudi upya?
Pole mzee Lipumba sasa pumzika lea wajukuu achana na siasa
Poropesa mwenyewe Mbovu anafanana na gari lake,Ila hiyo gari ya prof ni mbovu sana sidhani kama inafanyiwaga matengenezo mara kwa mara kwa jinsi ninavyoliona huku barabarani.
Hii kwenye picha ni kipara ama ugonjwa alioupata baada ya kupinduka gari[emoji15]BREAKING: PROF LIPUMBA APATA AJALI "Gari yake imepinduka na imeharibika vibaya..."
Taarifa zaidi zitakujia hivi punde
=======
Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amepata ajali eneo la Nangurukuru mkoani Lindi saa moja usiku jana Jumatano baada ya gari alilokuwa anasafiria kupinduka. Ajali hiyo haikuhusisha magari mengine.
Profesa Lipumba alikuwa anatokea Njinjo kuelekea Kivinje kwenye shughuli za chama laini alipofika Nangurukuru gari ilipinduka lakini waliokuwemo ndani ya gari ikiwemo profesa Lipumba walitoka salama.
Naibu Mkurugenzi wa haki CUF, Salvatory Madaha alitoka na majeraha madogo.
View attachment 2519013