Maelezo mazuri, siasa ni mradi mzuri sana nchini Tanzania.
P
Siasa ni biashara yenye faida nzuri hapa Tanzania.Maelezo mazuri, siasa ni mradi mzuri sana nchini Tanzania.
P
Mhuni tu na fisadi kwani wenye access ya account ya chama si wanajulikana unapelekaje pesa kwenye account binafsi upuuzi
Eti "mwanachama mwaminifu", yaani mwamimifu kuliko benk?
Jamaa wako smart, na wala hamumunyi maneno. Maana walifanya kwa maslahi ya chama.Mwenyekiti wa Cuf Prof Lipumba amesema sh 300m za ruzuku walizihamishia kwenye akaunti binafsi ya mwanachama mwaminifu Omari Muhina ili kuzilinda zisiibiwe pale benki.
Prof Lipumba amesema hayo alipozungumza na waandishi wa habari leo.
Source ITV habari
Hahahaaaa........mwanachama mwaminifu Takukuru inamuhusu!
Hahahaaaaa.........Pal3 Ufipa kuna mwanachama mwaminifu kama huyu wa Buguruni?!!Maendeleo hayana chama
Sijui "Mwanachama mwaminifu" iko kifungu cha ngapi cha katiba ya CUF!? Otherwise ni wapumbavu tu watakaosapoti upumbavu huu.
True, niliwahi kushauriSiasa ni biashara yenye faida nzuri hapa Tanzania.
Ndio maana siku hizi tuna wafanyabiashara wa siasa.
Maneno yataisha pindi akiombwa account ya hiyo mwaminifu kuhakikiwa ni kweli ya uaminifu?
Maneno yataisha pindi akiombwa account ya hiyo mwaminifu kuhakikiwa ni kweli ya uaminifu?
By way haya yatapita tuwe na taadhali ya janga lililopo sasa Duniani.