Prof. Lipumba atoa maelezo ya CAG kuhusu CUF chama cha wananchi

Prof. Lipumba atoa maelezo ya CAG kuhusu CUF chama cha wananchi

Yeye katuhumiwa hadharan kwenye media na yeye anajibu kwenye media

Ikija kwenye mahojiano na Takukuru na yeye atawajibu kwa documents

Hapo kwenye hoja ya CAG hakuna wizi aliotuhumu, kilichokiukw ni control z fedha kitu ambacho sio kosa la jinai ni kosa la kiutendaji tu, ndio sababu CAG kaishia ku report kuwa fedha zilihamishiwa kwenye acoount binafsi hakusema fedha zimeibiwa
Baada ya kuhamishiwa kwny Account binafsi walichofanya ni kuhakikisha kila matumizi yalipata authority and supporting documents hapo mchezo umekwisha, Lipumba mtoto wa Mjini

Sent using Jamii Forums mobile app
Fedha zilihamishwa kwa idhini ya msajili wa vyama vya siasa. Ili chama chao kiendelee kusurvive kisiasa. Maana kuna mtu alitaka kuleta mizengwe. Sasa hivi yupo Act.
 
Back
Top Bottom