Maswali kwa mgombea
1. Kukosa milo ni matokeo tu ya umasikini, yeye anazungumzia vipi suala hilo na mikakati ya vitendo kuhakikisha tunaondokana nalo kama nchi?
2. Suala la ukosefu wa Ajira ni moja ya sababu ya kukosa milo mitatu, anazungumziaje hilo.
3. Elimu duni au elimu isiyo na ujuzi kamili (Semi-skilled) ni matokeo ya kukosa milo pia Prof anazungumziaje hilo.
Kwanini mgombea aisngejikita kwenye issues material badala yake anakomaa na vijitu petty kabisa hadi watu wanaanza kuhoji uelewa wake wa mambo kama mdau hapo juu?
Au kuna kitu CUF ngangari inaogopa!