Karne
JF-Expert Member
- Jun 13, 2016
- 8,118
- 13,547
Kama ulimsikiliza jana kwenye press conference yake pale Buguruni then huu ni uzushi kama uzushi mwingine tu.
Kuna haja ya uongozi wa JF kuongeza sheria ya watoa taarifa kama hizi kuweka vyanzo vya taarifa zao siyo hata kina Tom&Jerry wakishiba makande huko wanakuja kuandika chochote huku.
Kuna haja ya uongozi wa JF kuongeza sheria ya watoa taarifa kama hizi kuweka vyanzo vya taarifa zao siyo hata kina Tom&Jerry wakishiba makande huko wanakuja kuandika chochote huku.