Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kusoma tu.Mnaonekana mmesoma magazeti.[emoji23][emoji23][emoji23]
Unadhami ina impact gani toka kwa chama CCM b mfu na mtu mfuProf gonga humo humo
Mbowe alisemaje??Tumwambie Prof. au Mbowe aliyesema?
Prof yuko kifalsafa zaidi!Unadhami ina impact gani toka kwa chama CCM b mfu na mtu mfu
Atajulia wapi wakati CCUUFF = CHAMA CHA UBUYU NA FITNAProfessor mzima hajui maana ya Sera? Seriously?
Kabisa anashusha thamani ya wasomi kwa kweli watu wenye vipara/kovu tuwafikirie kwa mapana zaidiAnatutia doa wasomi tuonekane tumesoma kwa mchongo [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani wanasiasa hawatakiw kutongoza au kutafuna madem? Au ukiwa mwanasiasa zaga halisimami tena? Huyu dingi vp asee 🤣🤣🤣Prof. Lipumba: Hitimisho, baraza kuu linatoa wito kwa watanzania pamoja na waandishi wa habari kujiunga na chama cha CUF chenye lengo ...
Madem ni sehem ya wanasiasa kama ilivyo kwa wanaume wanasiasa ambao hufanywa kama sera majukwaani!!Hajakataa isipokuwa anashanga mademu kuwa sera
Mwisho wa siku akaja kujifungia ofisini Bugurani wiki mzima akipambana na Maalim Seif enzi hizo za mwendazake. Just imagine!Distinguished Professor anaongelea sentensi ya rejareja jukwaani anaita sera.
Usihadaike na akili za darasani mkuu,
Ukiambiwa alikuwaga Tanzania One form six na GPA ya 5 UDSM na Masters alisoma Stanford university hawez amini.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sera za kutongoza mademuProf. Lipumba: Hitimisho, baraza kuu linatoa wito kwa watanzania pamoja na waandishi wa habari kujiunga na chama cha CUF chenye lengo la kujenga nchi yenye haki sawa na furaha kwa wananchi wote...