Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Kaka mwachi degree yako ya mchongo kama braza ibu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Anatutia doa wasomi tuonekane tumesoma kwa mchongo [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka mwachi degree yako ya mchongo kama braza ibu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Anatutia doa wasomi tuonekane tumesoma kwa mchongo [emoji23][emoji23][emoji23]
Nani kam certify huyo ulomwita shujaa?Pamoja na Uswahili wake lakini Prof Lipumba ni mtu makini sana
Kwa kawaida hanaga maneno mengi na hafuati mkumbo..
Au tuwapeleke cuba uko waludie mwaka [emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa anashusha thamani ya wasomi kwa kweli watu wenye vipara/kovu tuwafikirie kwa mapana zaidi
Kaka mwachi degree yako ya mchongo kama braza ibu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
'...vyama vya kutongoza madem' 😂. Hapo kuna mtu kapigwa kijembe 😂🤣💃🚶🚶Prof. Lipumba: Hitimisho, baraza kuu linatoa wito kwa watanzania pamoja na waandishi wa habari kujiunga na chama cha CUF chenye lengo la kujenga nchi yenye haki sawa na furaha kwa wananchi wote. Kitakachotumia rasilimali za nchi yetu kukuza uchumi unaoongeza ajira utakaowapa na kuwanufaisha wananchi wote, kitakachoimarisha uwajibikaji na kujenga mfumo endelevu wa kupambana na rushwa na ufisadi.
Vyuma vinazidi kukaza, tujiunge na kuimarisha CUF ili hatimaye tupate grisi ya vyuma vilivyokaza na kuna vyama vingine vina sera ya kutongoza mademu, sisi tuna sera ya kujenga nchi yenye haki sawa na furaha kwa wananchi wote.
Unapagawa na wanasiasa?,hapo anapiga kabobo taaluma kaweka pembeniDistinguished Professor anaongelea sentensi ya rejareja jukwaani anaita sera.
Usihadaike na akili za darasani mkuu,
Ukiambiwa alikuwaga Tanzania One form six na GPA ya 5 UDSM na Masters alisoma Stanford university hawez amini.
Sijapagawa... wanasiasa ni kioo cha jamii yetu...Kwenye akili anatambulika hata akichekesha...Unapagawa na wanasiasa?,hapo anapiga kabobo taaluma kaweka pembeni
Hahahah hakika inatakiwa tufanye hivoAu tuwapeleke cuba uko waludie mwaka [emoji23][emoji23][emoji23]
'...vyama vya kutongoza madem' 😂. Hapo kuna mtu kapigwa kijembe 😂🤣💃🚶🚶
Hivi 'dame' ni hawara!?Mwambieni profesa kuwa mtu akishakuwa demu hatongozwi tena. Anayetongozwa ni yule ambaye siyo demu. Hawara hatongozwi.