Dame ni neno tofauti na demu.Hivi 'dame' ni hawara!?
Usilete uzungu hapa wewe umekulia kwa Manyanya huko halafu unatuletea hicho kizungu cha mwalimu wako mnywa gongo!
Wabongo bhana. Muone anavyojishaua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dame ni neno tofauti na demu.Hivi 'dame' ni hawara!?
Pole Sana kwa kupotoka....na povu lako si mchezoUsilete uzungu hapa wewe umekulia kwa Manyanya huko halafu unatuletea hicho kizungu cha mwalimu wako mnywa gongo!
Wabongo bhana. Muone anavyojishaua
Prof. Lipumba: Hitimisho, baraza kuu linatoa wito kwa watanzania pamoja na waandishi wa habari kujiunga na chama cha CUF chenye lengo la kujenga nchi yenye haki sawa na furaha kwa wananchi wote. Kitakachotumia rasilimali za nchi yetu kukuza uchumi unaoongeza ajira utakaowapa na kuwanufaisha wananchi wote, kitakachoimarisha uwajibikaji na kujenga mfumo endelevu wa kupambana na rushwa na ufisadi.
Vyuma vinazidi kukaza, tujiunge na kuimarisha CUF ili hatimaye tupate grisi ya vyuma vilivyokaza na kuna vyama vingine vina sera ya kutongoza mademu, sisi tuna sera ya kujenga nchi yenye haki sawa na furaha kwa wananchi wote.
Sera ya chama chenu si ya kutongozana, amepiga pale pale! lazima uumie sana!Professor mzima hajui maana ya Sera? Seriously?
Sera ya kutongoza mademu ndo ipi na ni vyama gani vinaitangaza?Prof. Lipumba: Hitimisho, baraza kuu linatoa wito kwa watanzania pamoja na waandishi wa habari kujiunga na chama cha CUF chenye lengo la kujenga nchi yenye haki sawa na furaha kwa wananchi wote. Kitakachotumia rasilimali za nchi yetu kukuza uchumi unaoongeza ajira utakaowapa na kuwanufaisha wananchi wote, kitakachoimarisha uwajibikaji na kujenga mfumo endelevu wa kupambana na rushwa na ufisadi.
Vyuma vinazidi kukaza, tujiunge na kuimarisha CUF ili hatimaye tupate grisi ya vyuma vilivyokaza na kuna vyama vingine vina sera ya kutongoza mademu, sisi tuna sera ya kujenga nchi yenye haki sawa na furaha kwa wananchi wote.
Toka waporwe mali za URITHI hayuko sawa...Professor mzima hajui maana ya Sera? Seriously?
Distinguished Professor anaongelea sentensi ya rejareja jukwaani anaita sera.
Usihadaike na akili za darasani mkuu,
Ukiambiwa alikuwaga Tanzania One form six na GPA ya 5 UDSM na Masters alisoma Stanford university hawez amini.
Ndio mje tuwatongoze, tumeanza na Mwenyekiti wenuSera ya chama chenu si ya kutongozana, amepiga pale pale! lazima uumie sana!
La Prefeseri Lipumba-f amechambua vizurimmh ..kumekucha hawa watu bora wangeendelea kufungiwa tu.
Tusahau hizi siasa zao.
Nutty ProfessorProf. Lipumba: Hitimisho, baraza kuu linatoa wito kwa watanzania pamoja na waandishi wa habari kujiunga na chama cha CUF chenye lengo la kujenga nchi yenye haki sawa na furaha kwa wananchi wote. Kitakachotumia rasilimali za nchi yetu kukuza uchumi unaoongeza ajira utakaowapa na kuwanufaisha wananchi wote, kitakachoimarisha uwajibikaji na kujenga mfumo endelevu wa kupambana na rushwa na ufisadi.
Vyuma vinazidi kukaza, tujiunge na kuimarisha CUF ili hatimaye tupate grisi ya vyuma vilivyokaza na kuna vyama vingine vina sera ya kutongoza mademu, sisi tuna sera ya kujenga nchi yenye haki sawa na furaha kwa wananchi wote.
Takataka nyingine hii toka jalalaniProf. Lipumba: Hitimisho, baraza kuu linatoa wito kwa watanzania pamoja na waandishi wa habari kujiunga na chama cha CUF chenye lengo la kujenga nchi yenye haki sawa na furaha kwa wananchi wote. Kitakachotumia rasilimali za nchi yetu kukuza uchumi unaoongeza ajira utakaowapa na kuwanufaisha wananchi wote, kitakachoimarisha uwajibikaji na kujenga mfumo endelevu wa kupambana na rushwa na ufisadi.
Vyuma vinazidi kukaza, tujiunge na kuimarisha CUF ili hatimaye tupate grisi ya vyuma vilivyokaza na kuna vyama vingine vina sera ya kutongoza mademu, sisi tuna sera ya kujenga nchi yenye haki sawa na furaha kwa wananchi wote.
Ni kweli, ACT - WazalendoProf. Lipumba: Hitimisho, baraza kuu linatoa wito kwa watanzania pamoja na waandishi wa habari kujiunga na chama cha CUF chenye lengo la kujenga nchi yenye haki sawa na furaha kwa wananchi wote. Kitakachotumia rasilimali za nchi yetu kukuza uchumi unaoongeza ajira utakaowapa na kuwanufaisha wananchi wote, kitakachoimarisha uwajibikaji na kujenga mfumo endelevu wa kupambana na rushwa na ufisadi.
Vyuma vinazidi kukaza, tujiunge na kuimarisha CUF ili hatimaye tupate grisi ya vyuma vilivyokaza na kuna vyama vingine vina sera ya kutongoza mademu, sisi tuna sera ya kujenga nchi yenye haki sawa na furaha kwa wananchi wote.