Prof. Lipumba: Kupigwa risasi haikuongezei sifa ya kuwa Rais wa Tanzania

Prof. Lipumba: Kupigwa risasi haikuongezei sifa ya kuwa Rais wa Tanzania

Kulwa Jilala

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
3,891
Reaction score
8,448
Prof. Lipumba wakati anajibu maswali mbalimbali ya Waandishi wa Habari amemlipua Tundu Lissu kuwa ajue kupigwa risasi siyo sifa ya kukufanya uchaguliwe kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Prof. Lipumba amesema kwenye sifa za mtu kuwa Rais wa Tanzania kupigwa risasi haipo, hivyo Lissu angeendeleza sera za kuwaunganisha Watanzania na kuwaletea maendeleo na siyo kuimba kupigwa risasi kila siku.

 
Lipumba mdomo wake tu unamaliza yote kabla ya kumdadavua.

Nimewahi kaa nae kwenye halfa fulani ni mlafi na mroho kupindukia hutaamini kama ni profesa mwenye uwezo wa kununua aina hiyo ya chakula.

Muda wote hula kwa pupa huku ulimi wake ukicheza cheza mithili ya ulimi wa chatu na hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!

Hii tabia ya kilafi imeathiri maisha yake sana kiasi cha kukosa msimamo na hupatwa na fadhaa kubwa mbele ya pesa au chakula.

Lipumba ni Disgrace katika nchi hii.
 
Badala ya kuzungumzia Inflation yeye anazungumzia risasi

Huyu mzee kwishney sema tu yule mkewe mchagga anamlisha!
So mchaga aliona fursa ikabidi ajiweke kwa professor. Hawa jamaa hawachelewagi kwa fursa ujue. Kama waale vijana marangu wameua mstaafu na kumbaka ili awape kadi ya benki ,Kuna mwingine alikodia majambazi mmewe akauliwa dumila morogoro
 
So mchaga aliona fursa ikabidi ajiweke kwa professor. Hawa jamaa hawachelewagi kwa fursa ujue. Kama waale vijana marangu wameua mstaafu na kumbaka ili awape kadi ya benki ,Kuna mwingine alikodia majambazi mmewe akauliwa dumila morogoro
Hahahahha
 
Lipumba mdomo wake tu unamaliza yote kabla ya kumdadavua...

Nimewahi kaa nae kwenye halfa fulani ni mlafi na mroho kupindukia hutaamini kama ni profesa mwenye uwezo wa kununua aina hiyo ya chakula


Muda wote hula kwa pupa huku ulimi wake ukicheza cheza mithili ya ulimi wa chatu na hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!!

Hii tabia ya kilafi imeathiri maisha yake sana kiasi cha kukosa msimamo na hupatwa na fadhaa kubwa mbele ya pesa au chakula...

Lipumba ni Disgrace katika nchi hii.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣daaah aisee leo nimecheka sana
 
Ukiambiwa wewe punguani utabisha? lisu aliposema sabaya ni jambazi ulisema alete ushahidi wakati tayari ulishapelekwa mahakamani

lisu akisema magufuli anahusika na shambulio lake unabisha, akisema lipumba kuhusu lisu haraka unatoka jikoni kuja kuaktika mauno humu
 
Ukiambiwa wewe punguani utabisha? lisu aliposema sabaya ni jambazi ulisema alete ushahidi wakati tayari ulishapelekwa mahakamani
lisu akisema magufuli anahusika na shambulio lake unabisha
akisema lipumba kuhusu lisu haraka unatoka jikoni kuja kuaktika mauno humu
Dereva wa Lisu ndiyo muhusika namba 1
 
mpuuzi wewe dereva wa lisu amuue lisu ili apate nn? mtu unakula nae chakula umpige risasi? si angemuwekea sumu tu yakaisha? mjinga sana wewe jamaa
na ben sanane, anzory gwanda nao waliuwa na dereva wa lisu?
Dereva wa Lisu amejificha zaidi ya pumbu
 
Back
Top Bottom