Prof. Lipumba: Kupigwa risasi haikuongezei sifa ya kuwa Rais wa Tanzania

Prof. Lipumba: Kupigwa risasi haikuongezei sifa ya kuwa Rais wa Tanzania

Lipumba mdomo wake tu unamaliza yote kabla ya kumdadavua...

Nimewahi kaa nae kwenye halfa fulani ni mlafi na mroho kupindukia hutaamini kama ni profesa mwenye uwezo wa kununua aina hiyo ya chakula


Muda wote hula kwa pupa huku ulimi wake ukicheza cheza mithili ya ulimi wa chatu na hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!!

Hii tabia ya kilafi imeathiri maisha yake sana kiasi cha kukosa msimamo na hupatwa na fadhaa kubwa mbele ya pesa au chakula...

Lipumba ni Disgrace katika nchi hii.
Nimecheka Sana hii personal attack.

Anapokula hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!!! Ukivuta picha ya tukio lilivyokuwa,nafeel vile ulivyokuwa unajisikia juu ya ulaji wake.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Sometimes huwa nafurahishwa Sana na watu wa system hasa TISS jinsi wanavoibua watu na fani zao!!

Hasa lipumba ni mtu anaefaa KWA siasa ZETU kama anavoonekana!anafanya siasa za mchongo Ili kusaidia NCHI katika kipindi Fulani inachopitia!!

Hilo ni bonge la spana!!
 
Nimecheka Sana hii personal attack.

Anapokula hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!!! Ukivuta picha ya tukio lilivyokuwa,nafeel vile ulivyokuwa unajisikia juu ya ulaji wake.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Nilisikia kinyaa sana!! Halafu muda wote anawatolea macho vibaya sana wanaopakua utafikiri kaandaliwa peke yake...

Mwangalie hata ongea yake mdomo wake saa zote unacheza cheza tu kama wa mamba anaevizia windo
 
So mchaga aliona fursa ikabidi ajiweke kwa professor. Hawa jamaa hawachelewagi kwa fursa ujue. Kama waale vijana marangu wameua mstaafu na kumbaka ili awape kadi ya benki ,Kuna mwingine alikodia majambazi mmewe akauliwa dumila morogoro

..mke wa Prof yuko vizuri anafanya kazi shirika la kimataifa UNDP.

..tena ameingia huko toka miaka ya 90 nadhani kabla Prof hajaanza mambo ya siasa.
 
Back
Top Bottom